[emoji23] [emoji23] usinchekeshe mkuu! Nani huyo nimfungulie Uzi.Kuna mtu anafurahia unavyokuwa na replies nyingi...
Mshana kauliza swali technical sana ambalo Kiranga akilijibu basi atakuwa kauingia mtego wa mshana mzima mzima na atagaragazwa haraka sana. Sasa Kwa vile kiranga anafahamu kuziba mianya hatari kama hii ya arguments hataki kuingia kwenye barabara ya mshana ya spiritual lane then kaamua kubaki kwenye philosophy and rhetoric defensive argument akijilinda zaidi.
That's why anatumia argument technique ya Socratic defensive argument method. Swali kwa swali method... Watakesha maana kiranga licha ya kuwa na asili ya ubishi pia ana maphilosoy theory.
Hatari sana!
Mpaka raha kukusomaMshana kauliza swali technical sana ambalo Kiranga akilijibu basi atakuwa kauingia mtego wa mshana mzima mzima na atagaragazwa haraka sana. Sasa Kwa vile kiranga anafahamu kuziba mianya hatari kama hii ya arguments hataki kuingia kwenye barabara ya mshana ya spiritual lane then kaamua kubaki kwenye philosophy and rhetoric defensive argument akijilinda zaidi.
That's why anatumia argument technique ya Socratic defensive argument method. Swali kwa swali method... Kama ile ya Jesus. Wanafunzi wake walimuuliza mwalimu wewe ni nani? Hakuwajibu moja kwa moja..Bali na yeye akawauliza kwani nyie mnafikiri Mimi ni nani? Hapo sasa wakaanza kujikanyaga. Kwamba wewe ni Yohana mbatizaji, wengine wewe ni mfalme wa Wayahudi, wengine wewe utakuwa ndie Messiah!?
Wale Watakesha maana kiranga licha ya kuwa na asili ya ubishi pia ana maphilosoy theory.
Hatari sana!
Awww!! It gives great joy kusikia such sweet compliment kama hizi kwa mtu ninaemkubali kama wewe DinazardeMpaka raha kukusoma
Asante Humble, ubarikiwe na wengine waige piaAwww!! It gives great joy kusikia such sweet compliment kama hizi kwa mtu ninaemkubali kama wewe Dinazarde
Your always sweet and lovely Dina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hopefully watafanya hivyo dear. Mungu ni Upendo nakupendaga sana.Asante Humble, ubarikiwe na wengine waige pia
Ameen HumbleHopefully watafanya hivyo dear. Mungu ni Upendo nakupendaga sana.
Umebarikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaa hatari sanaMshana kauliza swali technical sana ambalo Kiranga akilijibu basi atakuwa kauingia mtego wa mshana mzima mzima na atagaragazwa haraka sana. Sasa Kwa vile kiranga anafahamu kuziba mianya hatari kama hii ya arguments hataki kuingia kwenye barabara ya mshana ya spiritual lane then kaamua kubaki kwenye philosophy and rhetoric defensive argument akijilinda zaidi.
That's why anatumia argument technique ya Socratic defensive argument method. Swali kwa swali method... Kama ile ya Jesus. Wanafunzi wake walimuuliza mwalimu wewe ni nani? Hakuwajibu moja kwa moja..Bali na yeye akawauliza kwani nyie mnafikiri Mimi ni nani? Hapo sasa wakaanza kujikanyaga. Kwamba wewe ni Yohana mbatizaji, wengine wewe ni mfalme wa Wayahudi, wengine wewe utakuwa ndie Messiah!?
Wale Watakesha maana kiranga licha ya kuwa na asili ya ubishi pia ana maphilosoy theory.
Hatari sana!
kabisa mkuu""Hakuna mtego wowote wa kumkwamisha mtu hapo hata kama Mshana anaona katoa bonge la mtego, isipokuwa, neno akili lina dhana pana sana, ni wajibu wa muuliza swali kufafanua anamaanisha nini..
Ila kiranga ameshamjibu kwama Akili ni akili ila kiranga amegomea jibu