Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,404
Kuna thread ya Mshana Jr inayosema kuwa Kiranga sio atheist ni non-believer inaelekea page ya 50 ikiwa imekwama kwenye neno "akili...".
Kwa upande wangu naona mjadala ule hauna maana yoyote kwasababu kila mtu anakwepa kumjibu mwenzie swali moja tu.
Mshana:Kiranga una akili au hauna akili?
Kiranga:Akili ni nini?
Eeh bhana eh!mjadala umetumia karibu posts 700+ kwenye kipengele hiko bila mafanikio.Mshana hataki kutoa maana ya akili na kiranga hataki kusema kama anazo bila kuambiwa akili zipi.
Kwa ujumla naona wale jamaa wanajidhalilisha tu...
Kwa upande wangu naona mjadala ule hauna maana yoyote kwasababu kila mtu anakwepa kumjibu mwenzie swali moja tu.
Mshana:Kiranga una akili au hauna akili?
Kiranga:Akili ni nini?
Eeh bhana eh!mjadala umetumia karibu posts 700+ kwenye kipengele hiko bila mafanikio.Mshana hataki kutoa maana ya akili na kiranga hataki kusema kama anazo bila kuambiwa akili zipi.
Kwa ujumla naona wale jamaa wanajidhalilisha tu...