Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
-
- #21
Umesema vyema
Hapa nizungumzie hasa wanaume utakuta anaona red flags kwa mwanamke anashindwa kuvunja uhusiano
Tatizo wanetu wengine wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu wako kummer oriented
Wabapuuzia ndioa wale wa kusema 'nitambadilisha'
Naonaga wengine nyuzi zao humu mapenzi yanawachapa kmmk sio poa
NakaziaIshu ya mahusiano yanamhitaji sana Mungu kabla ya akili,kuna vitu nje ya ulimwengu wa mwili usipovijua,hata uwe na akili za GPA 5.0 utafeli. Akili ije baada ya Mungu,utafurahia maisha,mihemko na tamaa zimeponza wengi.
Sizitaki mbichi hiziMahusiano yangu na muvi na muziki yanendelea vizur. Kazi kwenu nyie wenye mahusiano na watoto wa watu
Changamoto hazikosekani hata ukiwa na mwenza sahihi vitabu vitakatifu vinasema hivyo ila zitakuwa tofauti na za hawa wanaokurupukaVunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUZAA na kuja kusumbua kizazi chenu.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA kutiana VISU nakuja kuuana.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUFUNGA NDOA isije wapa watu faida.
Mda mwengine utaona kama moyo bado unapenda ila VUNJA VUNJA VUNJAAAAAAAAAAA
kabla ya kuja kukutokea la kukutokea.
Basi sawaVunja mwanangu vunjavunja sana.
Kama hivyo sawaVunja mahusiano kabla ya HAMJAKUJA KUJENGA na kuja kusumbuana mbeleni kwenye kudai asilimia.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUZAA na kuja kusumbua kizazi chenu.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA kutiana VISU nakuja kuuana.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUFUNGA NDOA isije wapa watu faida.
Mda mwengine utaona kama moyo bado unapenda ila VUNJA VUNJA VUNJAAAAAAAAAAA
kabla ya kuja kukutokea la kukutokea
Punguza kujishusha kwenye mahusiano machanga.Kama hivyo sawa
Punguza kujishusha kwenye mahusiano machanga.Changamoto hazikosekani hata ukiwa na mwenza sahihi vitabu vitakatifu vinasema hivyo ila zitakuwa tofauti na za hawa wanaokurupuka
Umeoa?Punguza kujishusha kwenye mahusiano machanga.
Mara nyingi yatakusababisha ujishushe hivyo hivyo kwenye maisha yenu yote.
Hapana badoUmeoa?
๐คฃ๐คฃ๐ญ๐ญ๐กMahusiano n vita km vita nyingine tu ukikutana na mtu ambaye itikadi haziendan .
Mm Ninachowashauri vijana wasioe single mama ambaye bb wa mtt yupo hai..Kuna jamaa kajichanganya kuoa Dem niliyezaa naye bac n vile tu mm n mtu mwenye HURUMA Kwa mwanaume mwenzangu vingenevyo ningeshambebesha mimba mke wake tupatee mtt wa pilii ndan ya ndoa ya jamaa [emoji23][emoji23].
KATAA NDOAA
We endelea kuvunja vunja ๐Kwahiyo tuvunje vunje eti๐๐๐
Kumbe hujaoa haya makasiriko yanatokana na nini chiefHapana bado
Ndio maana hapo tumeshindwa kuelewana. Ila hata kama haujaoa na umelelewa na wazazi wako lazima kuna wakati uliona dingi na bimkubwa wakitofautiana lakini kuna wakati utajua tu wameshayeweka sawa furaha inarudiHapana bado
Haijalishi mkuuKumbe hujaoa haya makasiriko yanatokana na nini chief
Una uhakika kila furaha inarudi kiwepesi?Ndio maana hapo tumeshindwa kuelewana. Ila hata kama haujaoa na umelelewa na wazazi wako lazima kuna wakati uliona dingi na bimkubwa wakitofautiana lakini kuna wakati utajua tu wameshayeweka sawa furaha inarudi
Vunjavunja ๐คธ๐คธ๐คธWho knows am single ๐
Vunja vunja๐ ๐๐ฎ๐๐ฟ
Kabisa๐จVunjavunja ๐คธ๐คธ๐คธ