Akili tu hauna ila mapenzi ni kitu oa sana

Akili tu hauna ila mapenzi ni kitu oa sana

Umesema vyema

Hapa nizungumzie hasa wanaume utakuta anaona red flags kwa mwanamke anashindwa kuvunja uhusiano

Tatizo wanetu wengine wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu wako kummer oriented

Wabapuuzia ndioa wale wa kusema 'nitambadilisha'

Naonaga wengine nyuzi zao humu mapenzi yanawachapa kmmk sio poa

Tena ni vyema kuvunja mahusiano machanga kuliko uyasubiri yakomae.

Yakikomaa mpaka BAKWATA watapata taarifa ya kuachana kwenu.
 
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUZAA na kuja kusumbua kizazi chenu.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA kutiana VISU nakuja kuuana.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUFUNGA NDOA isije wapa watu faida.
Mda mwengine utaona kama moyo bado unapenda ila VUNJA VUNJA VUNJAAAAAAAAAAA
kabla ya kuja kukutokea la kukutokea.
Changamoto hazikosekani hata ukiwa na mwenza sahihi vitabu vitakatifu vinasema hivyo ila zitakuwa tofauti na za hawa wanaokurupuka
 
Vunja mahusiano kabla ya HAMJAKUJA KUJENGA na kuja kusumbuana mbeleni kwenye kudai asilimia.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUZAA na kuja kusumbua kizazi chenu.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA kutiana VISU nakuja kuuana.
Vunja mahusiano kabla HAMJAKUJA KUFUNGA NDOA isije wapa watu faida.
Mda mwengine utaona kama moyo bado unapenda ila VUNJA VUNJA VUNJAAAAAAAAAAA
kabla ya kuja kukutokea la kukutokea
Kama hivyo sawa
 
Changamoto hazikosekani hata ukiwa na mwenza sahihi vitabu vitakatifu vinasema hivyo ila zitakuwa tofauti na za hawa wanaokurupuka
Punguza kujishusha kwenye mahusiano machanga.
Mara nyingi yatakusababisha ujishushe hivyo hivyo kwenye maisha yenu yote.
 
Mahusiano n vita km vita nyingine tu ukikutana na mtu ambaye itikadi haziendan .

Mm Ninachowashauri vijana wasioe single mama ambaye bb wa mtt yupo hai..Kuna jamaa kajichanganya kuoa Dem niliyezaa naye bac n vile tu mm n mtu mwenye HURUMA Kwa mwanaume mwenzangu vingenevyo ningeshambebesha mimba mke wake tupatee mtt wa pilii ndan ya ndoa ya jamaa [emoji23][emoji23].

KATAA NDOAA
 
Mahusiano n vita km vita nyingine tu ukikutana na mtu ambaye itikadi haziendan .

Mm Ninachowashauri vijana wasioe single mama ambaye bb wa mtt yupo hai..Kuna jamaa kajichanganya kuoa Dem niliyezaa naye bac n vile tu mm n mtu mwenye HURUMA Kwa mwanaume mwenzangu vingenevyo ningeshambebesha mimba mke wake tupatee mtt wa pilii ndan ya ndoa ya jamaa [emoji23][emoji23].

KATAA NDOAA
🤣🤣😭😭😡
 
Ndio maana hapo tumeshindwa kuelewana. Ila hata kama haujaoa na umelelewa na wazazi wako lazima kuna wakati uliona dingi na bimkubwa wakitofautiana lakini kuna wakati utajua tu wameshayeweka sawa furaha inarudi
Una uhakika kila furaha inarudi kiwepesi?
Furaha nyingine hurudi na mapanga mkononi.
 
Back
Top Bottom