Akili tu hauna ila mapenzi ni kitu oa sana

Nitakuwa WA mwisho kuamini na wewe Una akili
 
Una miaka mingapi kwenye mahusiano??
 
Ndio hvyo mkuu [emoji23][emoji23][emoji1787] ..

Nina HURUMA ningekuwa najiliaa tu SEMA ndio hvyo nimempa block Dem Kila mahali japo ananiandama hatari[emoji1787][emoji1787]
Oya nikwambie kitu.
Mu unblock huyo demu alafu piga vitu mpaka watoto waje fanana na wewe mpaka mumewe ashangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…