Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaaaPenzi jipya lina mbwembwe sana.[emoji1614][emoji276]
Kweli kabisa kuna mmoja amenichanganya kabisa nimekaa nikafikilia amekuwa na Nini Cha ziada ambacho sikukiona mwanzo mbona nilikuwa na muona wakawaida sana mpaka tulipoanza uhusiano kidogo.Yani ukimuangalia humamlizi, kila kilichochake unakiona kizuri, unamuona ni mrembo kuliko wote, tatizo ni kua hizi hisia hazidumu kwa muda mrefu, i wish it could be that, life would be so wonderful.
Ni kweli ila unakua unaongozwa kichwa cha kati kisicho na macho wala pua (Kobobo) cha juu kinakua kina macho lakini hakioni mpaka upate ukimwiYani ukimuangalia humamlizi, kila kilichochake unakiona kizuri, unamuona ni mrembo kuliko wote, tatizo ni kua hizi hisia hazidumu kwa muda mrefu, i wish it could be that, life would be so wonderful.
Hii nchi bila upanga tutazidi kucheleweshana