palesh pizoo
Senior Member
- Apr 14, 2018
- 131
- 223
Kwa haraka nazani ni mifupa ile inayoweza kutafunika mfano ya samaki wadogowadogo ndio mifuoa rahisi kulika. Si inasaidia pia mkuu?Mkuu hapa ni issue ya kujiongeza tu it is better ukatafuta ambayo haikuletei madhara
Samahani mkuu hii dopamine inaweza kuhusiana na mtu kuwa addicted na matendo ya kujiendekeza ambayo kimsingi yanaweza kumpelekea athark fulani kwa siku za mbele? e.g😛unyeto, Wizi nkMImi nitajikita kuizungumzia dopamine zaidi, Dopamine ni kemikali ya FURAHA,
- Dopamine
- Acetylcholine
- Endolphin
- GABA
- Oxytocon
- Serotonin
- Na zinginezo nyingi
Ukiwa unatafuta kitu au jambo flani ukilipata dopamine huzalishwa kwenye ciruit, mfano wewe ni shabiki wa ARSENAL na mechi inapigwa kati ya Arsenal na CHELSEA mpo kibandani au uwanjani mnacheki game, matarajio yako ni arsenal ishinde, Arsenal wakifunga goli ubongo wako (circuit inayohusika na mpira) inazalisha dopamine, hii kemikali inapozalishwa mwili wako unasisimka unajikuta unalipuka kwa furaha,
View attachment 1911179
Baada ya muda (dopamine) kemikali inayeyuka unarudi kawaida, hii ndio starehe ya watu wengi
Lakini pia ufanyaji wa tendo la ndoa wakati unapofika mshindo (kumwaga mbegu) ule utamu unao usikia ndio dopamine hapo inazalishwa kwenye ubongo na huwa inamwagwa nyingi sana sana sana, ikiisha unarudi kawaida mpaka ijitengeneze tena ubomgoni ndio usisimke ndio maana huwa unapumzika kwanza au kuuchapa usingizi
Watu wanapenda mademu sababu kuu ni utamu (dopamine)
Kuna njia za bandia na hatarishi za kuufanya ubongo wako uzalishe dopamine yaani ujisikie furaha kwa njia fake
Mfano uvutaji bangi, unywaji pombe, matumizi ya madawa ya kulevya n.k hivi vitu vinakemikali inayofanana na dopamine, hivyo basi huufanya ubongo upokee kiasi kingi zaidi cha dopamine, inafikia wakati ili ujisikie furaha utahitaji bangi au pombe nyingi zaidi sababu mzunguko ushavurugwa na bangi au pombe
Ndio addiction hutokea hivyo
View attachment 1913578View attachment 1913581View attachment 1913586View attachment 1913588View attachment 1913589View attachment 1913590View attachment 1913591View attachment 1913592View attachment 1913593View attachment 1913594View attachment 1913595View attachment 1913596View attachment 1913597
Vipi mkuu unamaanisha hivi? Unaswali lolote?
Ndio mimi mkuu nimeomba kubadilishiwa jina ili niwe verified, sasa mkuu ningeomba verification kwa jina la LUCKDUBE ningeleta taharuki, nitaanzisha uzi ili kila mtu apate taarifaPlan Paris ndiye @LUCKDUBE ??!!🤔
Kujiendekeza ni kama vile mtoto anapokuwa mdogo hutumia kilio ili kuvuta attention ya mama au watu waliopo karibu ili asaidiwe kama kajikojolea au ananjaa au anataka kubebwa, akikua na asipokanywa ndio inakuwa kujiendekeza,Samahani mkuu hii dopamine inaweza kuhusiana na mtu kuwa addicted na matendo ya kujiendekeza ambayo kimsingi yanaweza kumpelekea athark fulani kwa siku za mbele? e.g😛unyeto, Wizi nk
Unachanganya human psychology +philosophy +sociology and naturalism which is which? Nakuomba uwe una base katika sehemu moja alwaysNatumai mko poa pamoja na hizi tozo[emoji1].
Mind-body dualism hii ni dhana kwamba akili(mind) na mwili(body) wa binadamu ni vitu viwili tofauti kila kimoja kinajitegemea kivyake.Dhana hii ilikua maarufu katika karne ya 17 kutokana na mwanamahesabu wa ufaransa aitwaye René Descartes,alikua na msemo wa kilatin “Cogito, ergo sum,” kwa kiingereza ni "I think, therefore I am” kwa lugha nyepesi ntasema "You are not your mind, you are the one listening to it" yanii wewe sio akili yako wewe ni yule unaesikiliza akili inakwambia nini.
Akili(mind) inahusisha ufahamu (consciousness) hii inafanya akili igawanyike kwenye makundi makuu matatu hii dhanaria ilikuwepo kitambo lakini ilielezewa vizuri na mwanasaikolojia kutoka Austria,bwana Sigmund Freud.
Makundi ya akili ya binadamu
1.unconscious mind
2.subconscious mind na
3.conscious mind
1.UNCONSCIOUS MIND.
Akili hii imeundwa na hisia,tabia,mawazo,mihemko kwa ujumla kumbukumbu za zamani au za sasa ambazo mara nyingi huwa ni za kuogofya au za kututia aibu,hivyo tunazipotezea na tunaziweka nje ya ufahamu wetu tusiweze kuzikumbuka.
Ingawa hatujui uwepo wa kumbukumbuku hizi ila zina ushawishi mkubwa juu ya tabia zetu za kila siku,zinaweza kusababisha shida kadhaa, pamoja na
hasira,woga,tabia ya kuchaguachagua vitu(mfano chakula),mwingiliano mgumu wa kijamii na shida kwenye mahusiano.Freud aliamini kuwa wakati mwingine kumbukumbu hizi zilizofichwa hujidhihirisha kupitia ndoto na kuteleza kwa ulimi(ulimi hauna mfupa).
2. SUBCONSCIOUS MIND.
Akili hii imeundwa na kumbukumbu zote zinazohitajika kukumbukika kwa urahisi, kama tarehe ya siku yako ya kuzaliwa,inashikilia kumbukumbu tunazotumia kila siku, kama tabia na hisia.Pia hushughulika na kila kitu ambacho mwili wako unahitaji kufanya kazi vizuri, kutoka mfumo wa chakula hadi mfumo wa upumuaji hata unapokua umelala na pia ndio chanzo cha ndoto tunazoziota hata kama tukiwa tumelala na hatujitambui.
Subconscious mind mara nyingi huwa inahusishwa na imani kwani ina nguvu sana katika maisha ya binadamu, miujiza yote kama uponyaji huwa inatokea kwenye akili hii mtu anapoamini,kwasababu wazo lolote tunalopanda katika akili hii aidha baya au zuri kwa kurudiarudia siku moja litakuwa ukweli(maneno uumba) hivyo tunahitaji kuwa makini sana na mambo tunayofikiria na kuyaongea.Tukiwaza vitu hasi(negative) itatupelekea kutokuwa na furaha,afya bora na kutofaulu katika maisha yetu pia tukiwaza vitu chanya (positive) tutapata furaha,afya bora na utafanikiwa kwenye maisha yetu.
Kwa kuchukua udhibiti wa akili hii, tunaweza kuwa na uhakika wa kudhibiti tena maisha yetu na kufanikisha chochote tunachotaka. Hii ni kwa sababu wakati subconscious mind, conscious mind na mwili(body) zinapofanya kazi pamoja ili kufikia lengo moja, tunaweza kuamini kwamba lengo hilo litafanikiwa kivyovyote. Meditation ni njia rahisi zaidi inayoweza kutuunganisha na akili hii.
3. CONSCIOUS MIND.
Akili hii inahusisha vitu tunavyotambua na ambavyo tunavifikiria hivi sasa kwa mfano, unavyousoma huu uzi, sauti ya muziki unaosikiliza na kufanya mazungumzo.
Akiili hii ndio mlango wa taarifa kwa njia ya picha au sauti kutoka kwenye mazingira ya nje yanayomzunguka binadamu na kuzihifadhi kwenye akili nyingine za binadamu,pia ni kupitia akili hii ndio tunaweza kufikia subconscious mind na kuficha na kufukia kumbukumbu nyingine kwenye unconscious mind.
Fisherman.
humans ni complex sana kumuelewa sometimes inabidi utumie source nyingi bila kubase sehemu moja. ushaur mzuri pia ntaufanyia kaziUnachanganya human psychology +philosophy +sociology and naturalism which is which? Nakuomba uwe una base katika sehemu moja always
Kuna aina ishirini na moja elfu za samaki, wewe kula samaki tafuna na mifupa ilimradi isikuchomeKwa haraka nazani ni mifupa ile inayoweza kutafunika mfano ya samaki wadogowadogo ndio mifuoa rahisi kulika. Si inasaidia pia mkuu?
Mkuu anzisha tuninge anzisha kama uzi ungefutwa tu
Plan Paris tafadhal ntumie icho kitabu cha social engineering the art of human hackingView attachment 1913578View attachment 1913581View attachment 1913586View attachment 1913588View attachment 1913589View attachment 1913590View attachment 1913591View attachment 1913592View attachment 1913593View attachment 1913594View attachment 1913595View attachment 1913596View attachment 1913597
Vipi mkuu unamaanisha hivi? Unaswali lolote?
Mbona nimeeleza kuwa hii maada inagusa masomo mengi ukiunganisha knowledge ndio unaelewa mada husika, mfano mtu anayesoma mambo ya pesa na usimamizi wa fedha pale IFM anasoma masomo mengi then baadae akiyaunganisha kinakuwa kitu kimoja, hivyo hivyo kwenye mada hii inabidi uwe na uelewa wa mambo yafuatayoUnachanganya human psychology +philosophy +sociology and naturalism which is which? Nakuomba uwe una base katika sehemu moja always
All those are branches of science has nothing to do with Human knowledge bro......Mbona nimeeleza kuwa hii maada inagusa masomo mengi ukiunganisha knowledge ndio unaelewa mada husika, mfano mtu anayesoma mambo ya pesa na usimamizi wa fedha pale IFM anasoma masomo mengi then baadae akiyaunganisha kinakuwa kitu kimoja, hivyo hivyo kwenye mada hii inabidi uwe na uelewa wa mambo yafuatayo
NDio maana yataka moyo ili uyaelewe
- Human anatomy
- Human physiology
- Pharmacology
- Neuroscience
- Molecular biology
- Radiology
- Computer science
- Human psychology
- Logic
- Quantum mechanics
- Metaphysics
- N.k
Google b-ok.org kisha kisearch ukidownloadPlan Paris tafadhal ntumie icho kitabu cha social engineering the art of human hacking
Human knowledge inakaa kwenye kiungo (organ) gani ktk mwili wa binadamu?All those are branches of science has nothing to do with Human knowledge bro......
kutokana na sababu zilizo nnje ya uwezo wangu nashidwa kukipakua hivyo ndo maana nikakuomba msaada wa kukituma.Google b-ok.org kisha kisearch ukidownload
Kama kukipakuwa unashindwa kukisoma utaweza kukimaliza kweli?kutokana na sababu zilizo nnje ya uwezo wangu nashidwa kukipakua hivyo ndo maana nikakuomba msaada wa kukituma.
Kwa kuwa umeshasoma tungeomba ujibu hilo swali ni kwanini chupa za coca cola huekwa mezani katika hotuba na zinamshawishi vipi mtu?Kwa mfano mimi nilitamani kujua Kwanini Ronaldo wakati anahutubia press chupa za cocacola huwekwa mezani, je zinanishawishi vipi mimi niliyeko huku Songwe ninunue COCA COLA, ktk kuanza kusoma nkajikuta nasoma mambo ya marketing, advertisement, psychology, emotions and needs, sleeping,Memory, cognitive neuroscience, placebo n.k
Sijaona mahali nimesema nimeshidwa usininukuu vibaya narudia kutokana na sababu zilizo nnje ya uwezo wangu.Kama kukipakuwa unashindwa kukisoma utaweza kukimaliza kweli?