Akili ya binadamu

Akili ya binadamu

Mkuu hapa ni issue ya kujiongeza tu it is better ukatafuta ambayo haikuletei madhara
Kwa haraka nazani ni mifupa ile inayoweza kutafunika mfano ya samaki wadogowadogo ndio mifuoa rahisi kulika. Si inasaidia pia mkuu?
 
  • Dopamine
  • Acetylcholine
  • Endolphin
  • GABA
  • Oxytocon
  • Serotonin
  • Na zinginezo nyingi
MImi nitajikita kuizungumzia dopamine zaidi, Dopamine ni kemikali ya FURAHA,

Ukiwa unatafuta kitu au jambo flani ukilipata dopamine huzalishwa kwenye ciruit, mfano wewe ni shabiki wa ARSENAL na mechi inapigwa kati ya Arsenal na CHELSEA mpo kibandani au uwanjani mnacheki game, matarajio yako ni arsenal ishinde, Arsenal wakifunga goli ubongo wako (circuit inayohusika na mpira) inazalisha dopamine, hii kemikali inapozalishwa mwili wako unasisimka unajikuta unalipuka kwa furaha,
View attachment 1911179
Baada ya muda (dopamine) kemikali inayeyuka unarudi kawaida, hii ndio starehe ya watu wengi

Lakini pia ufanyaji wa tendo la ndoa wakati unapofika mshindo (kumwaga mbegu) ule utamu unao usikia ndio dopamine hapo inazalishwa kwenye ubongo na huwa inamwagwa nyingi sana sana sana, ikiisha unarudi kawaida mpaka ijitengeneze tena ubomgoni ndio usisimke ndio maana huwa unapumzika kwanza au kuuchapa usingizi
Watu wanapenda mademu sababu kuu ni utamu (dopamine)

Kuna njia za bandia na hatarishi za kuufanya ubongo wako uzalishe dopamine yaani ujisikie furaha kwa njia fake
Mfano uvutaji bangi, unywaji pombe, matumizi ya madawa ya kulevya n.k hivi vitu vinakemikali inayofanana na dopamine, hivyo basi huufanya ubongo upokee kiasi kingi zaidi cha dopamine, inafikia wakati ili ujisikie furaha utahitaji bangi au pombe nyingi zaidi sababu mzunguko ushavurugwa na bangi au pombe

Ndio addiction hutokea hivyo
Samahani mkuu hii dopamine inaweza kuhusiana na mtu kuwa addicted na matendo ya kujiendekeza ambayo kimsingi yanaweza kumpelekea athark fulani kwa siku za mbele? e.g😛unyeto, Wizi nk
 
Samahani mkuu hii dopamine inaweza kuhusiana na mtu kuwa addicted na matendo ya kujiendekeza ambayo kimsingi yanaweza kumpelekea athark fulani kwa siku za mbele? e.g😛unyeto, Wizi nk
Kujiendekeza ni kama vile mtoto anapokuwa mdogo hutumia kilio ili kuvuta attention ya mama au watu waliopo karibu ili asaidiwe kama kajikojolea au ananjaa au anataka kubebwa, akikua na asipokanywa ndio inakuwa kujiendekeza,

Punyeto sio kujiendekeza ni subcounscious imagination

Wizi ni survival action sometimes inasababishwa na defect kwenye ubongo hasa hasa eneo linalohusika na huruma, mfano kuna utafiti ulikuwa ukifanywa magaidi wakifa miili yao inaperekwa kwenye uchunguzi wakawa wanabaini kuwa magaidi wengi wana uvimbe au defect kwenye eneo linalohusika na emotions au huruma,

Kujiendekeza ~oxytocin
Nyeto~ dopamine
Wizi/ugaidi ~ defect kwenye ubongo
 
Natumai mko poa pamoja na hizi tozo[emoji1].

Mind-body dualism hii ni dhana kwamba akili(mind) na mwili(body) wa binadamu ni vitu viwili tofauti kila kimoja kinajitegemea kivyake.Dhana hii ilikua maarufu katika karne ya 17 kutokana na mwanamahesabu wa ufaransa aitwaye René Descartes,alikua na msemo wa kilatin “Cogito, ergo sum,” kwa kiingereza ni "I think, therefore I am” kwa lugha nyepesi ntasema "You are not your mind, you are the one listening to it" yanii wewe sio akili yako wewe ni yule unaesikiliza akili inakwambia nini.

Akili(mind) inahusisha ufahamu (consciousness) hii inafanya akili igawanyike kwenye makundi makuu matatu hii dhanaria ilikuwepo kitambo lakini ilielezewa vizuri na mwanasaikolojia kutoka Austria,bwana Sigmund Freud.

Makundi ya akili ya binadamu
1.unconscious mind
2.subconscious mind na
3.conscious mind

1.UNCONSCIOUS MIND.

Akili hii imeundwa na hisia,tabia,mawazo,mihemko kwa ujumla kumbukumbu za zamani au za sasa ambazo mara nyingi huwa ni za kuogofya au za kututia aibu,hivyo tunazipotezea na tunaziweka nje ya ufahamu wetu tusiweze kuzikumbuka.

Ingawa hatujui uwepo wa kumbukumbuku hizi ila zina ushawishi mkubwa juu ya tabia zetu za kila siku,zinaweza kusababisha shida kadhaa, pamoja na
hasira,woga,tabia ya kuchaguachagua vitu(mfano chakula),mwingiliano mgumu wa kijamii na shida kwenye mahusiano.Freud aliamini kuwa wakati mwingine kumbukumbu hizi zilizofichwa hujidhihirisha kupitia ndoto na kuteleza kwa ulimi(ulimi hauna mfupa).


2. SUBCONSCIOUS MIND.

Akili hii imeundwa na kumbukumbu zote zinazohitajika kukumbukika kwa urahisi, kama tarehe ya siku yako ya kuzaliwa,inashikilia kumbukumbu tunazotumia kila siku, kama tabia na hisia.Pia hushughulika na kila kitu ambacho mwili wako unahitaji kufanya kazi vizuri, kutoka mfumo wa chakula hadi mfumo wa upumuaji hata unapokua umelala na pia ndio chanzo cha ndoto tunazoziota hata kama tukiwa tumelala na hatujitambui.

Subconscious mind mara nyingi huwa inahusishwa na imani kwani ina nguvu sana katika maisha ya binadamu, miujiza yote kama uponyaji huwa inatokea kwenye akili hii mtu anapoamini,kwasababu wazo lolote tunalopanda katika akili hii aidha baya au zuri kwa kurudiarudia siku moja litakuwa ukweli(maneno uumba) hivyo tunahitaji kuwa makini sana na mambo tunayofikiria na kuyaongea.Tukiwaza vitu hasi(negative) itatupelekea kutokuwa na furaha,afya bora na kutofaulu katika maisha yetu pia tukiwaza vitu chanya (positive) tutapata furaha,afya bora na utafanikiwa kwenye maisha yetu.

Kwa kuchukua udhibiti wa akili hii, tunaweza kuwa na uhakika wa kudhibiti tena maisha yetu na kufanikisha chochote tunachotaka. Hii ni kwa sababu wakati subconscious mind, conscious mind na mwili(body) zinapofanya kazi pamoja ili kufikia lengo moja, tunaweza kuamini kwamba lengo hilo litafanikiwa kivyovyote. Meditation ni njia rahisi zaidi inayoweza kutuunganisha na akili hii.


3. CONSCIOUS MIND.

Akili hii inahusisha vitu tunavyotambua na ambavyo tunavifikiria hivi sasa kwa mfano, unavyousoma huu uzi, sauti ya muziki unaosikiliza na kufanya mazungumzo.

Akiili hii ndio mlango wa taarifa kwa njia ya picha au sauti kutoka kwenye mazingira ya nje yanayomzunguka binadamu na kuzihifadhi kwenye akili nyingine za binadamu,pia ni kupitia akili hii ndio tunaweza kufikia subconscious mind na kuficha na kufukia kumbukumbu nyingine kwenye unconscious mind.




Fisherman.
Unachanganya human psychology +philosophy +sociology and naturalism which is which? Nakuomba uwe una base katika sehemu moja always
 
Unachanganya human psychology +philosophy +sociology and naturalism which is which? Nakuomba uwe una base katika sehemu moja always
humans ni complex sana kumuelewa sometimes inabidi utumie source nyingi bila kubase sehemu moja. ushaur mzuri pia ntaufanyia kazi
 
Unachanganya human psychology +philosophy +sociology and naturalism which is which? Nakuomba uwe una base katika sehemu moja always
Mbona nimeeleza kuwa hii maada inagusa masomo mengi ukiunganisha knowledge ndio unaelewa mada husika, mfano mtu anayesoma mambo ya pesa na usimamizi wa fedha pale IFM anasoma masomo mengi then baadae akiyaunganisha kinakuwa kitu kimoja, hivyo hivyo kwenye mada hii inabidi uwe na uelewa wa mambo yafuatayo
  • Human anatomy
  • Human physiology
  • Pharmacology
  • Neuroscience
  • Molecular biology
  • Radiology
  • Computer science
  • Human psychology
  • Logic
  • Quantum mechanics
  • Metaphysics
  • N.k
NDio maana yataka moyo ili uyaelewe
 
Mbona nimeeleza kuwa hii maada inagusa masomo mengi ukiunganisha knowledge ndio unaelewa mada husika, mfano mtu anayesoma mambo ya pesa na usimamizi wa fedha pale IFM anasoma masomo mengi then baadae akiyaunganisha kinakuwa kitu kimoja, hivyo hivyo kwenye mada hii inabidi uwe na uelewa wa mambo yafuatayo
  • Human anatomy
  • Human physiology
  • Pharmacology
  • Neuroscience
  • Molecular biology
  • Radiology
  • Computer science
  • Human psychology
  • Logic
  • Quantum mechanics
  • Metaphysics
  • N.k
NDio maana yataka moyo ili uyaelewe
All those are branches of science has nothing to do with Human knowledge bro......
 
All those are branches of science has nothing to do with Human knowledge bro......
Human knowledge inakaa kwenye kiungo (organ) gani ktk mwili wa binadamu?

Kwa mtazamo wako knowledge ni nini? What is concept? What is idea? What is memory ? What is thought? What is reasoning? What is learning??

Usiponijibu haya maswali basi hiyo degree yako ya philosophy hujaielewa inahusu nini wala sitahangaika na wewe sababu huna kitu ambacho nitajifunza kutoka kwako
 
Kwa mfano mimi nilitamani kujua Kwanini Ronaldo wakati anahutubia press chupa za cocacola huwekwa mezani, je zinanishawishi vipi mimi niliyeko huku Songwe ninunue COCA COLA, ktk kuanza kusoma nkajikuta nasoma mambo ya marketing, advertisement, psychology, emotions and needs, sleeping,Memory, cognitive neuroscience, placebo n.k
Kwa kuwa umeshasoma tungeomba ujibu hilo swali ni kwanini chupa za coca cola huekwa mezani katika hotuba na zinamshawishi vipi mtu?
 
Kama kukipakuwa unashindwa kukisoma utaweza kukimaliza kweli?
Sijaona mahali nimesema nimeshidwa usininukuu vibaya narudia kutokana na sababu zilizo nnje ya uwezo wangu.
Ni sawa nami niseme kama umeshidwa kukipakia hapa jukwaani umekisoma kweli?
 
Back
Top Bottom