OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Kama umesoma vizuri hizo screenshoot utagundua nmekisoma miezi kadhaa iliyopita kwahiyo mimi nilitaka kukuelekeza ili nawewe uwe unapakua vitabu mbali mbali bure kiukweli kusema nianze kuatach hapa naona sio sawa isitoshe bando lenyewe sio la kutoshaSijaona mahali nimesema nimeshidwa usininukuu vibaya narudia kutokana na sababu zilizo nnje ya uwezo wangu.
Ni sawa nami niseme kama umeshidwa kukipakia hapa jukwaani umekisoma kweli?
Rejea ile habari ya PAVLOV na mbwa wake. Mechanism ndio hiyo hiyoKwa kuwa umeshasoma tungeomba ujibu hilo swali ni kwanini chupa za coca cola huekwa mezani katika hotuba na zinamshawishi vipi mtu?
Mkuu kila siku mutu anaota vitu mbali mbali mpaka kupiga miti mtu, tena basi unakojoa kabisaaa kojo mwaa, inatokeaga hasa ukiwa na ugwadu wa muda mrefu!! hapa umehusisha ubongo lazima!! na piaKulala ni njia mojawapo ya kuupumzisha ubongo.
Mkuu sijafahamu umesimamia upande gani, unaunga mkono au unapinga?Mkuu kila siku mutu anaota vitu mbali mbali mpaka kupiga miti mtu, tena basi unakojoa kabisaaa kojo mwaa, inatokeaga hasa ukiwa na ugwadu wa muda mrefu!! hapa umehusisha ubongo lazima!! na pia
ndoto nyingine kibao tu...... mtu mwenye afya ana wastani wa ndoto kumi kwa usiku mmoja, hapa ni akili inatumika mkuu! huwezi ota bila kuhusha akili never! tena nitendo la miaka kibao, hata Farao alikuwa muotaji, amabae sijawahi sikia aliota ni Yesu tu!
Mfano huwa ninawaza misamiati mingi sana, ya lugha ya kiingereza nikistuka tu naandika, asubuhi nikija kwa Dictionary yaani ni kweli kabisaa na nilicho kiota,
kwa mfano leo hii nimeota mneno mawili ya kiingereza mojawapo ni aprinox, nikaliandika, asubuhi kucheck hili neno lipo kweli! yaani huwa najishangaa kindoto! akili lazima ilihusika Medulla Oblongata! na maamuzi ya kuandika nisisahau ni ya ubongo pia! iko hivi
Ni either mtu asahau au akumbuke baadhi ya ndoto zake hizo!! je nakuuliza hapa kinacho fanya kazi ni nini km si ubongo? njia pekee ya Kupumzisha ubongo ni kuamua wewe mwenyewe wkt umekaa au umejilaza kitandani na kusema
''sitaki kuwaza chochote ; kitu unapiga hola na huwazi kabisaa hata masaa 3, lkn ukifanya uamuzi huu wkt umejilaza kwa kitanda lazima usingizi ukubebe na huko utaota lazima! elezea hii mkuu ikoje? kulingana na ufahamu wako!!
Mkuu,Mkuu sijafahamu umesimamia upande gani, unaunga mkono au unapinga?
Mvua ya vitabu. HahahaaaaView attachment 1913578View attachment 1913581View attachment 1913586View attachment 1913588View attachment 1913589View attachment 1913590View attachment 1913591View attachment 1913592View attachment 1913593View attachment 1913594View attachment 1913595View attachment 1913596View attachment 1913597
Vipi mkuu unamaanisha hivi? Unaswali lolote?
Kwenye namba ya simu naunga mkono hoja. Kuna namba niliiona mara ya. Kwanza mwaka 2003 nikaisave kwenye handset ya kwanza miaka hiyo. Ila Hadi 2009 mtumiaji wa namba hiyo na Mimi tulisitisha mawasiliano. Hivyo simu nilizonunua nyingi baada ya iliyosave namba ya kwanza kutoitumia Tena. Nimetumia simu takribani nane au 10 hadi mwaka huu, ajabu wiki hii niliitafakari hiyo namba nikaipa akili assignment, kwamba namba hii naihitaji na nitaikumbuka na kuipiga. Aisee kweli, fikiria imepita takribani miaka 12 sijacontact na hiyo namba but circuit iliyoitunza ikaileta na nikaipiga na aliyepokea ndiye, sikukosea.Ndio,
Mfano kula lishe bora, pia mifupa ya samaki inaimarisha afya ya akili na uwezo wa kutunza kumbu kumbu,
Njia nyingine ni kama ile ya kucheza golf kila siky kwa kuimagine, unaweza kufanya hivyo kwenye jambo ambalo hutaki ulisahau yaani unariludia kila siku circuit inakuwa strong
Wewe unadhani kwa nini unaikumbuka namba yako ya simu?
Mkuu,
tukirudi kwenye mada. Kwanini watu tunatofautia uwezo wa kunasa matukio na kumbukumbu kwa wakati mfupi?
Ni mambo gani yanasababisha mtu kuwa na uwezo mdogo wa kukumbuka vitu wakati bado angali kijana tu?
Nini vinanafanya mtu awe na afya nzuri ya ubongo (smart) na ni nini vinaweza kumfanya mtu awe na afya mbaya ya ubongo (kilaza) ?
Hicho kichwa kina nondo za kutosha ...kudosHuman knowledge inakaa kwenye kiungo (organ) gani ktk mwili wa binadamu?
Kwa mtazamo wako knowledge ni nini? What is concept? What is idea? What is memory ? What is thought? What is reasoning? What is learning??
Usiponijibu haya maswali basi hiyo degree yako ya philosophy hujaielewa inahusu nini wala sitahangaika na wewe sababu huna kitu ambacho nitajifunza kutoka kwako
Specifically umeniita.
Capacity kwa tafsiri uwezo wa kuhifadhi wa akili ya binadamu inabebwa na aina ya ubongo? au eneo fulani la ubongo au kitu gani haswa?Baadaye kuna daktari mmoja mtaalamu wa Neuroscience alimfanyia mtu upasuaji wa ubongo ili kuondoa uvimbe, alifanya upasuaji akamaliza akamruhusu mgonjwa aende nyumbani, baada ya siku kadhaa mgonjwa akarudishwa hospitali akilalamika kuwa anapoteza kumbu kumbu hawezi kukumbuka matukio ya miaka ya nyuma na amewasahau mpaka watoto wake,
Ndipo hapo huyo daktari akanga'mua kuwa kumbu kumbu huhifadhiwa kwenye sehemu ya ubongo wa kati sehemu aliyoiondoa wakati wa upasuaji ndiyo hiyo inayohusika na kumbukumbu, baada ya ugunduzi huo wakaona kuwa akili na kumbu kumbu zote zipo kwenye ubongo ambapo ni sehemu ya mwili wa binadamu kwa hiyo wakawa wame m proof wrong bwana RENE DISCARTE na duality theory yake aliyokuwa akidai akili inapatikana nje ya mwili wa binadamu
ndiyo maana mimi sikutaka kabisa kuwajibu kwenye ule uzi wa ndoto maana nilijua tungesumbuana pia na mimi nna majukumu utulivu wa hali ya juu unahitajika ndio maana siku hata nkipost thread au coment napost vitu vya kawaida tu ila kuanzia mwezi wa sita ntaanza tena kushusha vitu vizito awamu hii sitaishia kwenye ufafafanuzi tu ntawapa na suluhisho kabisa lenye tija kwa kila mtu ko mkae kwa kutulia sasa hivi acha tukimbizane na thread za hovyo hovyo tu za kusukumia siku ila huwezi amini nna miaka miwili sikuligusa hili jukwaa sikutaka kuhangaika na mtu.Specifically umeniita.
Ngoja niusome huu uzi kuanzia post namba moja. Itanichukua siku kadhaa kuusoma kwa sababu nitakuwa naweka kituo mara kwa mara nifanye mambo mengine...
Eneo la akili ya viumbe sisi ni pana sana na elimu yake ni mtambuka
hilo swali ulilo uliza ni swali la PSYCHIATRY/MENTAL HEALTH unaweza kuona umeuliza swali dogo ila ni kubwa sana na majibu yake ukiyajua utakuwa sawa na daktari yeyote namaanisha MD wa nchi hii kwenye eneo la afya ya akili wewe soma uzi wote uuelewe upate kitu mwezi wa sita au saba nkiwa na muda ntakuja kuendelea nilipoishia ntaufufua huu uzi tuombe uzima.Capacity kwa tafsiri uwezo wa kuhifadhi wa akili ya binadamu inabebwa na aina ya ubongo? au eneo fulani la ubongo au kitu gani haswa?
Nauliza hivyo, kwa sababu binadamu hajawahi kuwa na ukomo wa kufikiri, kuwaza na kuweka kumbukumbu. Na hata akiwa katika mtindiko wa akili, lakini bado inaendelea kufanyakazi na kuweka kumbukumbu ingawa sisi wenye utimamu tunaona hayuko sawa lakini akili ya mtindio inafanya mambo fulani ndani ya uwezo wake na inaweka kumbukumbu. Tunaliona hilo kwenye matendo yanayojirudiarudia na mara nyingine vitu vipya
Nadhani naanza kupata clue.hilo swali ulilo uliza ni swali la PSYCHIATRY/MENTAL HEALTH unaweza kuona umeuliza swali dogo ila ni kubwa sana na majibu yake ukiyajua utakuwa sawa na daktari yeyote namaanisha MD wa nchi hii kwenye eneo la afya ya akili wewe soma uzi wote uuelewe upate kitu mwezi wa sita au saba nkiwa na muda ntakuja kuendelea nilipoishia ntaufufua huu uzi tuombe uzima.