Mkuu kila siku mutu anaota vitu mbali mbali mpaka kupiga miti mtu, tena basi unakojoa kabisaaa kojo mwaa, inatokeaga hasa ukiwa na ugwadu wa muda mrefu!! hapa umehusisha ubongo lazima!! na pia
ndoto nyingine kibao tu...... mtu mwenye afya ana wastani wa ndoto kumi kwa usiku mmoja, hapa ni akili inatumika mkuu! huwezi ota bila kuhusha akili never! tena nitendo la miaka kibao, hata Farao alikuwa muotaji, amabae sijawahi sikia aliota ni Yesu tu!
Mfano huwa ninawaza misamiati mingi sana, ya lugha ya kiingereza nikistuka tu naandika, asubuhi nikija kwa Dictionary yaani ni kweli kabisaa na nilicho kiota,
kwa mfano leo hii nimeota mneno mawili ya kiingereza mojawapo ni aprinox, nikaliandika, asubuhi kucheck hili neno lipo kweli! yaani huwa najishangaa kindoto! akili lazima ilihusika Medulla Oblongata! na maamuzi ya kuandika nisisahau ni ya ubongo pia! iko hivi
Ni either mtu asahau au akumbuke baadhi ya ndoto zake hizo!! je nakuuliza hapa kinacho fanya kazi ni nini km si ubongo? njia pekee ya Kupumzisha ubongo ni kuamua wewe mwenyewe wkt umekaa au umejilaza kitandani na kusema
''sitaki kuwaza chochote ; kitu unapiga hola na huwazi kabisaa hata masaa 3, lkn ukifanya uamuzi huu wkt umejilaza kwa kitanda lazima usingizi ukubebe na huko utaota lazima! elezea hii mkuu ikoje? kulingana na ufahamu wako!!