Akili za Chifu Mangungo wa Msovero

Akili za Chifu Mangungo wa Msovero

Kwa hiyo kuweka vizuri tuko na mangungo wa 5 (mangungo v)?!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Labda atakuwa the fourth maana mwenzao mmoja alikuwa mkali sana linapokuja suala la mikataba ya ovyo ovyo
Mkuu, naye pia anaingia hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
uwe na adabu we mbwa. mlaumu mamako kutomkumbusha babako kuvaa condom usizaliwe mpumbavu km wewe.
AAXCDPjc.jpeg
 
Hapana, unamsingizia
Mkuu umesahau yale madai ya zaidi ya TZS 140Trn katika ripoti ya makinikia kutokana na ushauri wa kitaalamu aliopewa na tume ya akina Prof. Nehemiah Osoro wakati yupo katika mapambano makali ya vita vya kiuchumi!
 
Mkuu umesahau yale madai ya zaidi ya TZS 140Trn katika ripoti ya makinikia kutokana na ushauri wa kitaalamu aliopewa na tume ya akina Prof. Nehemiah Osoro wakati yupo katika mapambano makali ya vita vya kiuchumi!
Mzee alikuwa Mzalendo, ila baadhi ya Watanzania hawakuwahi kumwelewa na hawataki kumwelewa ukiwamo wewe
 
Wewe ni mpumbavu mmoja unayeendeshwa na hisia au hujajipa nafasi ya kutafakari Chief Mangungo alifanya nini.
Hata leo hii wazungu wanapewa mikataba ya uwekezaji tena ya sasa ni mibaya zaidi kuliko huo wa Mangungo.

Hawa akina Mkwawa wana mambo mengi machafu na maovu waliyowatendea watu wao kuliko ushujaa unaokuzwa ili kupamba tawala zao.

Nadhani ukoloni ilikuwa lazima uje ili kutunasua na tawala zilizoongozwa na wachawi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mkuu naona unajua kutukana sana
 
Mkuu alianza vyema mwaka 2016 lakini ilipofika 2018 kuelekea 2021 akabadilika kabisa. Ni kweli kabisa kuna mazuri yake upande wa maendeleo ya vitu, lakini upande wake mwingine ulijaa udhalimu na ukatili mwingi, na wala hakutii katiba, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali.
Mzee alikuwa Mzalendo, ila baadhi ya Watanzania hawakuwahi kumwelewa na hawataki kumwelewa ukiwamo wewe
Neno lake likageuka kuwa ndiyo amri ya mwisho, na yeyote yule aliyemuhisi au kumtilia mashaka ama kuthubutu kumuhoji au hata kujaribu kumshauri cha moto alikiona. Yeye akawa pekee mwenye kustahili kusifiwa na kuimbiwa nyimbo za sifa. Ndiyo kiini hasa cha mahasimu wake kumuona kuwa alikuwa mshamba na limbukeni wa madaraka, ijapokuwa walipigika na kudhoofu mno.
IMG-20230424-WA0077.jpg
 
Mkuu alianza vyema mwaka 2016 lakini ilipofika 2018 kuelekea 2021 akabadilika kabisa. Ni kweli kabisa kuna mazuri yake upande wa maendeleo ya vitu, lakini upande wake mwingine ulijaa udhalimu na ukatili mwingi, na wala hakutii katiba, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali. Neno lake likageuka kuwa ndiyo amri ya mwisho, na yeyote yule aliyemuhisi au kumtilia mashaka ama kuthubutu kumuhoji au hata kujaribu kumshauri cha moto alikiona. Yeye akawa pekee mwenye kustahili kusifiwa na kuimbiwa nyimbo za sifa. Ndiyo kiini hasa cha mahasimu wake kumuona kuwa alikuwa mshamba na limbukeni wa madaraka, ijapokuwa walipigika na kudhoofu mno.View attachment 2600492
Hapa nakubaliana na wewe kwa asilimia karibia zote. Lazima tukiri wazi kwamba Mzee hakutaka kukosolewa hasa kwa yale aliyoyaamini. Huo ndo ulikuwa udhaifu wake mkubwa. Na hata ukifuatilia nchi kama Rwanda, Germany, Russia, China n.k, Kuna watu wengi sana waliumia ikiwemo kuuawa wakati wa mchakato wa maendeleo yao. Maendeleo siyo kitu cha lelemama. Ni mapambano ambayo unapambana na usiowajua wakati mwingine.
Ndo maana Hayati alikuwa akikutilia mashaka kama ulivyosema, cha moto ulikiona!
Otherwise kumweka kwenye kundi la kina mangungo, narudia tena humtendei haki kabisa!
Ahsante.
 
Nataka kuelewa, hapo haujanielimisha bado, aliuza Ardhi vipi ili watu wake wanufaike na nini?
JamiiForums



Jukwaa la Siasa
Chifu mangungo ni nani?

Naomba ninukuu kidogo kipande cha historia fupi kuhusu chifu Mangungo kutoka katika uzi wa ndugu humu Jf KILABA

"Mangungo simultaneously for all his people and Dr. Peters for alt his present and future associates hereby concluded a treaty of Eternal Friendship.

Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.

Dr. Karl Peters, in the name of the Society for German Colonization declares his willingness to take over the territory of the Sultan Mangungo with all rights for German Colonization subject to any existing suzerainty of Mwenyi Sagara.

In pursuance thereof, Sultan Mangungo hereby cedes all the territory of Msovero, belonging to him by inheritance or otherwise for all time, to Dr. Karl Peters, making over to him at the same time all his rights.

Dr. Karl Peters in the name of the Society for German Colonization undertakes to give special...attention to Msovero when colonizing Usagara.

This treaty has been communicated to the Sultan Mangungo by the interpreter Ramzan in a clear manner and has been signed by both sides, with the observation of the formalities valid in Usagara the Sultan on direct enquiry having declared that he was not in anyway dependent upon the Sultan of Zanzibar, and that he did not even know the existence of the latter.

Sgd. Dr. KARL PETERS
Sgd. MANGUNGO

This contract has been executed legally and made valid for all time before a great number of witnesses, we testify herewith:
Kwagakinga (mark);
Sultan Mangungo’s son of Golola (mark);
Sultan Mangungo’s second son of Draman (mark);
Graf Pfeil August Otto;
Mark of the intepreter Ramazan etc.
Dr. Karl Juhlke.
Msovero Usagara November 29, 1884.

Kwa tafsiri isiyo rasmi, kwa Kiswahili unasomeka hivi:
Mangungo, Sultan wa Msovero katika Mwenyisagara, na Dk. Karl Peters. Mangungo sambamba na watu wake wote na Dk. Peters kwa niaba yake na washirika wake wengine wajao kwa pamoja wanaweka mkataba wa Urafiki wa Kudumu.

Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.

Dk. Karl Peters, kwa niaba ya jina la Umoja wa Ukoloni wa Ujermani anatangaza dhamira yake ya kuitwaa himaya yote ya Sultan Mangungo na haki zote kwa ajili ya Koloni la Ujerumani inayohusisha kila kona na amali za Mwenyi Sagara.

Katika kutekeleza hilo, Sultan Mangungo anakabidhi himaya yote ya Msovero, inayomilikiwa na yeye mwenyewe kwa urithi au kwa namna yoyote ile kwa nyakati zote, kwa Dk. Karl Peters, na wakati huo huo kumkabidhi haki zake zote.

Dk. Karl Peters kwa niaba ya Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani anakusudia kuweka mkazo maalum kwa eneo la Msovero wakati wa kuitawala Usagara.

Mkataba huu umewasilishwa kwa Sultan Mangungo na mkalimani Ramzan katika dhana ya wazi kabisa na umesainiwa na pande zote, kwa kuzingatia taratibu zilizopo katika Usagara, Sultan baada ya kuhojiwa moja kwa moja alikiri kwamba hakuwa na ushirika ama kutegemea kwa namna yoyote Sultan wa Zanzibar, na kwamba hakuwa hata akimfahamu.

Imesainiwa. Dk. KARL PETERS
Imesainiwa. MANGUNGO

Mkataba huu umefanyika kihalali kabisa na umehuishwa kwa nyakati zote mbele za mashahidi wengi, ambao tunakiri hapa:
Kwagakinga (dole gumba);
Golola mtoto wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Draman mtoto wa pili wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Graf Pfeil August Otto.
Dole gumba la mkalimani Ramazan etc.
Dk. Karl Juhlke.
Msovero Usagara Novemba 29, 1884.
 
kaburu sifa kuu ni ubaguzi hasa kwa misingi ya rangi. Kaburu kapora mali ya nani. Afika kusini ni kwao maana mababu zao walihamia kule miaka mingi sana nyuma kabla hata blacks hawajajua hata maana ya nchi.
Wacha upotoshaji na upuuzi. Wacha dharau na ujuaji unaoleta taharuki. Wacha Ugaidi. Stop your racist remarks.
 
Mangungo ni mfano wa kuigwa kuliko Hawa mapimbi wenye PhD ,yeye alivyojua kaingizwa cha kike alianzisha uprising
Hili hizi pimbi zimesoma na zinatuingiza cha kike zikijua kabisa na hakuna uprising yeyote baada ya hapo angalau mwendazake aliwaletea mtiti wale maboya wa accacia
 
Back
Top Bottom