Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Utafiti hupingwa kwa utafiti mkuu. Waliofanya huo utafiti ni maprofesa kutoka katika vyuo vikuu vinavyoheshimika sana. Na wewe fanya utafiti wako uje na matokeo yako lakini huwezi kupinga utafiti uliohusisha wanawake laki tano kwa kutumia sample ya mwanao zuzu. Mwanao anaweza kuwa ni kighairi (an exception) na hivyo ni vya kawaida katika tafiti; na huwa vina maelezo yake 😁Uzushi mtupu mkuu.
Mbona mwanangu Joji mazake ana bonge ya msambwanda ila mwanangu alikuwa zuzu la darasa..