ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msukuma anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferioty complex.Mara atafute PhD fake.Mara ,atuonyeshe magari mitandaoni.Mara atukane wasomi wakati yeye hana elimu yeyote.Huyo ni mtu fake .Spika wake kasema sote tunamsaidia master Samia
Kina mtesa sn na wakati hiyo maiki yenyewe imetengenezwa na wasomi na anasomesha watoto wakeMsukuma anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferioty complex.Mara atafute PhD fake.Mara ,atuonyeshe magari mitandaoni.Mara atukane wasomi wakati yeye hana elimu yeyote.Huyo ni mtu fake .
Jamaa ana madini sana.... naungana na Musukuma 💯%%%Msukuma anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferioty complex.Mara atafute PhD fake.Mara ,atuonyeshe magari mitandaoni.Mara atukane wasomi wakati yeye hana elimu yeyote.Huyo ni mtu fake .
Ndio maana The late JPM alikua anafanya FAULO nyingi sababu ya hizo milolongo mirefu.....😊😊😊😊😊😊😊Msukuma yupo vizuri sana! Jamaa ana point ,wasomi ndiyo wanaotufelisha ,hawana lolote zaidi ya kusaini 10% kwa kuleta porojo za michakato ,upembuzi yakinifu ,usanifu wa kina ,risk accessment kote huko ni wizi wizi wizi tu.
Jamaa ana madini sana.... naungana na Musukuma 💯%%%
Labda kama wewe ni mwambe 😊😊🤓🤓🤓🤓
Joke🤣
Sidhani Kama ana madini.Mwenye madini bungeni Ni Prof Muhongo.Mufuatilie kwa makini.Huyu ana kitu .Ni mpiga kelele tu.Jamaa ana madini sana.... naungana na Musukuma 💯%%%
Labda kama wewe ni mwambe 😊😊🤓🤓🤓🤓
Joke🤣
I appreciate prof. Muhongo "Geologist"H
Sidhani Kama ana madini.Mwenye madini bungeni Ni Prof Muhongo.Mufuatilie kwa makini.Huyu ana kitu .Ni mpiga kelele tu.
Huyu jamaa ana mabasi yake ya Mwanza to Geita,aisee sijui yalikuwa malori Yale akabadilisha kuwa Mabasi.I appreciate prof. Muhongo "Geologist"
Ila
Alipewa wizara ya Madini wote tunajua kilicho tokea Dkt.Musukuma na Prof. Kishimba wanamawazo ya tofaut sana....
Leo hii tunazalisha degree za MAKARATASI ambazo zinashindwa kitukomboa kifikra....
Nimemfuatilia Lemutuz na American spirit yake still tuna safar ndefu sana kama Taifa [emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Tanzania itajengwa na Watanzania wazalendo
Jikite kwenye hoja yake,watu wenye vi degree ni wajinga sana Huwa hamna akili za kufikiria Nje ya degree zenu.WE SI NI KM YEYE UNAJULIKANA. mnajisifu kwa ujinga, kinachomsumbua Musukuma ni inferiority complex. Sasa km alikuwa kilaza darasani anamlalamikia nani. Yule ni akili ndogo, nashangaa waliomchagua wanafananaje, ila sishangai kwa wananchi wa Geita, wengi ni wajinga ndio hao wanauana kila siku. Angejaribu kwenye majimbo ya watu wasomi na waelewa hata udiwani asingepata walahi. Wacha wafu wazike wafu wenzao.
Tuuma nzito ikiitajika kuthibitisha hizi tuuma nzito utazi thibitisha......au ndiyo zile siasa za maji safi na taka.......Huyu jamaa ana mabasi yake ya Mwanza to Geita,aisee sijui yalikuwa malori Yale akabadilisha kuwa Mabasi.
Huyo ni tapeli tu kama matapeli wengine,sema amejificha kwenye suti!
Ila ana pesaMsukuma anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferioty complex.Mara atafute PhD fake.Mara ,atuonyeshe magari mitandaoni.Mara atukane wasomi wakati yeye hana elimu yeyote.Huyo ni mtu fake .
Walipelekwa na DP WorldNimesikia wabunge 30 walikwenda kwenye ziara Dubai