carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
Jamaa alipaswa kuwa comedian sio mbunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakunaga usomi wa heshima Duniani. Musukuma hata apige kelele namna gani, atabaki kuwa standard 7 leaver hata anunue makaratasi mangapi kutoka predator Universities hapa DunianiMsukuma namkubali sana; isipokuwa sasa kuna kitu anatakiwa arekebishe, anataka kuelekea kwenye extremes
Kile kitendo cha kukaa kila mara anajitetea sana kuhusu elimu yake huku akiwaponda wasomi, kinakuwa ni too much kiasi kwamba kimeshaenda kwenye extremes, kiasi cha kumgeuza kuwa inferior kwa wasomi, badala ya kuwa superior kama alivyokuwa anatamani kuwa siku zote.
Alianza vizuri lakini kwa sasa anaonyesha kama hayuko vizuri sana; kwenye maswala haya ya usomi
Ni kweli maiki hiyo imetengenezwa na wasomi ila sio wa hapa TzKina mtesa sn na wakati hiyo maiki yenyewe imetengenezwa na wasomi na anasomesha watoto wake
Huna hoja Wala hadhi ya kumshindaHakunaga usomi wa heshima Duniani. Musukuma hata apige kelele namna gani, atabaki kuwa standard 7 leaver hata anunue makaratasi mangapi kutoka predator Universities hapa Duniani
Naona amewanyoosha,Jamaa alipaswa kuwa comedian sio mbunge
All the best chawaHuna hoja Wala hadhi ya kumshinda
Msukuma ni mpambanaji ila bado ni mjinga pia!Msukuma anasumbuliwa na kitu kinaitwa inferioty complex.Mara atafute PhD fake.Mara ,atuonyeshe magari mitandaoni.Mara atukane wasomi wakati yeye hana elimu yeyote.Huyo ni mtu fake .
Kongole kwako.Msukuma ana haki wasomi wazibebe chagizo na changamoto za msukuma kama chachu ya kujikosoa na kuboresha haina mjadala wawe positive tu na uchokozi wa msukuma ni wenye afya tu. Ukiwa liberal and critical thinker huwezi chukizwa na msukuma hata siku moja you ought to improve his ideas.
Ukienda hosp unatibiwa na akina nani?Ni kweli maiki hiyo imetengenezwa na wasomi ila sio wa hapa Tz
Natibiwa na watumishi wenzangu nadhan id yangu inajieleza,, lkn ukwel hatuwezi kuacha kuusema ukwel elimu yetu ni tia maji tia maji sana,,,, tuna UDSM, UDOM, SUA, MUST nk hebu taja basi tumegundua nn kupitia wasomi tuliozalisha kutoka hivi vyuo? Ukiwa mtaani utajua miswaki, wembe, ndala, baiskeli nk vyote made in China na nchi zingineUkienda hosp unatibiwa na akina nani?