Akili za wanachuo wengi zimekaa kipigaji na kutaka zaidi ya mlichokubaliana ukiwaweka madukani, kwanini?

Akili za wanachuo wengi zimekaa kipigaji na kutaka zaidi ya mlichokubaliana ukiwaweka madukani, kwanini?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Japo inategemeana mtu na mtu, kwa wastani Darasa la saba na form 4 wengi wala hawana shida ukiwaweka dukani,

Shida inakuja uwaweke waliosoma vyuoni, yani hata awe kasomea kozi ya secretary ni shida sana, mwanzoni mnakubaliana vizuri kabisa mshahara, day allowance, muda wa kufika, n.k. lakini wacha akae hata mwezi tu akisahayasoma mazingira.

  • Unaweza kuustukia duka lako umepangisha frem ya bure nae analeta mzigo wake
  • bei unamuelekeza aanzie kiasi flani yeye anaanzia juu sana na akiuza anarekodi bei yakupunguziwa
  • mlishakubaliana atoke muda fulani ila yeye anawahi kuondoka
  • Kuanza kutengeneza mazingira ya kujitetea mshahara haumtoshi
 
Sasa kama toka anaanza chekechea anaaminishwa na mzazi kuwa akipata ajira kuna marupurupu (upigaji) unadhani wewe ndo utambadilisha? Halafu na wewe mpuuzi kwanini uruhusu mfanyakazi kuja na mzigo wake? Mimi naona wewe na hao wafanyakazi wako ni wapuuzi.
 
Vichwani mwao wanaamini wanastahili kupata pesa nyingi bila kujali aina ya KAZI na mazingira yake. Wanakuja huku mikono ikiwa nyuma wakiomba wapate kazi yoyote ya kujishikiza , ukiwapa fursa wanakupiga!
Nadhani ni presha kutoka kwa wenzao walioajiriwa huko serikalini, wenzao wanapata mishahara ya laki 6+ na pesa za upigaji lakini wao wanapokea mishahara ya laki na nusu, wanaanza kufosi kingi
 
Sasa kazi ya dukani unaifanyaje bila kuweka genji za nauli?😂
Hebu fikiria uko kariakoo unauzia mizigo wakongo halafu usizidishe hata buku kwenye kila piece.?
 
Japo inategemeana mtu na mtu, kwa wastani Darasa la saba na form 4 wengi wala hawana shida ukiwaweka dukani,

Shida inakuja uwaweke waliosoma vyuoni, yani hata awe kasomea kozi ya secretary ni shida sana, mwanzoni mnakubaliana vizuri kabisa mshahara, day allowance, muda wa kufika, n.k. lakini wacha akae hata mwezi tu akisahayasoma mazingira.

  • Unaweza kuustukia duka lako umepangisha frem ya bure nae analeta mzigo wake
  • bei unamuelekeza aanzie kiasi flani yeye anaanzia juu sana na akiuza anarekodi bei yakupunguziwa
  • mlishakubaliana atoke muda fulani ila yeye anawahi kuondoka
  • Kuanza kutengeneza mazingira ya kujitetea mshahara haumtoshi
Mzabue kofi mbili tatu akili ikae sawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Japo inategemeana mtu na mtu, kwa wastani Darasa la saba na form 4 wengi wala hawana shida ukiwaweka dukani,

Shida inakuja uwaweke waliosoma vyuoni, yani hata awe kasomea kozi ya secretary ni shida sana, mwanzoni mnakubaliana vizuri kabisa mshahara, day allowance, muda wa kufika, n.k. lakini wacha akae hata mwezi tu akisahayasoma mazingira.

  • Unaweza kuustukia duka lako umepangisha frem ya bure nae analeta mzigo wake
  • bei unamuelekeza aanzie kiasi flani yeye anaanzia juu sana na akiuza anarekodi bei yakupunguziwa
  • mlishakubaliana atoke muda fulani ila yeye anawahi kuondoka
  • Kuanza kutengeneza mazingira ya kujitetea mshahara haumtoshi
Weka camera unarecord na kuona mienendo yote dukani.
 
Hili ni janga kwa watanzania wengi yaani watu wanawaza upigaji tu, sio tu katika biashara hata katika ujenzi ,vyombo vya usafiri,na n.k ukigeuza shingo tu umekula za uso.Ndio maana maduka mengi watu wameweka vijana wadogo ,wadogo ambao sio wasomi kuepuka huu upuzi, maana wengi hawana haraka na maisha na biashara inasonga vizuri,ila hawa wanaojiita wasomi anataka ajenge,anunue gari within a short period of time kwa biashara hiyo uliyo muajiri ,this is unbearable.
 
Ndo akili za watz Wengi ...hasa hawa waliozaliwa 2000...kazi yao Ku demand hela hata kama kazi hawafanyi
 
When you steal from other you steal from your self.

Elimu ya Tanzania inafuta ujinga Ila haiongezi maarifa ,hivyo before haujafanya biashara na MTU au kazi mjenga Sana kiakilia na umpe insight hapo ndo utazalisha MTU bora Sana. Na kufikia malengo.

HONEST is everything in life
 
Wanajifunza kwa viongozi wao. Ni nadra sana kukuta mwajiriwa ambaye hajawahi dokoa hata 100 na channel za mshiko zinapita pita kwake.
Hatari sana kuna hela moja nusu initokee puani tena ndogo mnoo.Hela hizi bora walivyochukua POS yao.
 
Mshahara laki na nusu ndo unasema unamlipa?
 
Japo inategemeana mtu na mtu, kwa wastani Darasa la saba na form 4 wengi wala hawana shida ukiwaweka dukani,

Shida inakuja uwaweke waliosoma vyuoni, yani hata awe kasomea kozi ya secretary ni shida sana, mwanzoni mnakubaliana vizuri kabisa mshahara, day allowance, muda wa kufika, n.k. lakini wacha akae hata mwezi tu akisahayasoma mazingira.

  • Unaweza kuustukia duka lako umepangisha frem ya bure nae analeta mzigo wake
  • bei unamuelekeza aanzie kiasi flani yeye anaanzia juu sana na akiuza anarekodi bei yakupunguziwa
  • mlishakubaliana atoke muda fulani ila yeye anawahi kuondoka
  • Kuanza kutengeneza mazingira ya kujitetea mshahara haumtoshi
Kwani kuuza duka kunahitaji elimu ya chuo? Umeyakanyaga! Acha watembeze bahasha mpaka sole zigandamane na unyayo!
 
Back
Top Bottom