Ni hulka yetu, hakuna mtu anayefurahia dadayake kufanyiwa hiyo kitu.
Jaman mie nahisi sijui ndio maumbile au vp,
Mie ilinitokea hivi;Kwetu hatuna kaka mkubwa kaka yetu ni mdogo wangu wa pili asa siku moja akanikuta natoka church niko na mkaka tunatembea njian tunaongea alipotufikia akanisalimia akamsalimia na yule mkaka alafu eti akasimama akamcheki kiaina alafu akaondoka kumbe kaenda kusimama mahali mie nipokatiza njia ya kwenda hm na yule kaka akaondoka zake kumbe eti alimfata yule kaka na kuanza kumhoji kuhusu mie yule kaka akamwelewesha kuwa ss ni marafiki tu,eti mdogo wangu akamwambia acheze mbali na mie lol!
Nilipojua nilimwita mdogo wangu nikaongea naye kwa upendo na kumshukuru kwa kunijali na kumtoa wasiwasi kuwa niko makin sana na kwa umri nilionao namudu kupambana na wanaume kwa hiyo asiwe anaingilia kwa namna yoyote nitakapo hitaji msaada wake basi nitamwambia,akanielewa natangu siku hiyo wala hana habari hata akiniona na mtu.
In most cases Wanaume wengi wana tabia za Kishenzi... Na wanajuana as men kua wanatabia za kishenzi hasa katika kukamilisha haja zao za miili. Ni mengi wanaume hufanyia mabinti/dada/mama wa wenzao bila kujale end result ya huyo mwanamke husika - wakijipa moyo kua haiwahusu.
Ndio maana weengi huumia saana wanapogundua dada/mtoto/mama yao anatoka na mwanaume fulani (hasa kama huyo mwanaume haeleweki in a man's perspective world). That is why most fathers wako soooo protective wa watoto wao wa Kike... yaani hujaribu kwa kila njia aweze timiza kila kitu ili mtoto wake yasimpate yale ambayo hata yeye mwenyewe hufanya kwa watoto wa wenzie.... BUT kama inavojulikana dunia haiendi hivo.... What goes around comes back around, na kila mla cha wenzie... chake pia huliwa.
Raha moja ananijua dada yake sio wa hivyo ndio maana alipata wakati mgumu kwa mara yake ya kwanza kuniona naongea na mwanaume njian ndio maana aliamua kuchukua hatua mara moja,na ndio maana ikawa rahisi kwake kunielewa.Mshukuru Mungu kwamba huyo mdogo wako ni mwelewa,
Vinginevyo angeweza kwenda kwa dingi akiangua kilio na mikono juu ya kichwa, huku akiomboleza kuwa dada yake amekuwa cha wote!!
mimi nimewahi kwenda 'out' kwenye first date mdada akiwa amesindikizwa na kaka yake
twice......tulikaa wote bar na kunywa na story kama kawaida...halafu mida mida kaka mtu akatuacha tu peke yetu
Me sitokuwa na uchungu kuona dada yangu anabanjuliwa, sasa asipobanjuliwa ni mimi ndio wa kumbanjua au??Yeah ni sawa tu akabanjuliwe sema ajali afya yake ukimwi mwingi now...
In most cases Wanaume wengi wana tabia za Kishenzi... Na wanajuana as men kua wanatabia za kishenzi hasa katika kukamilisha haja zao za miili. Ni mengi wanaume hufanyia mabinti/dada/mama wa wenzao bila kujale end result ya huyo mwanamke husika - wakijipa moyo kua haiwahusu.
Ndio maana weengi huumia saana wanapogundua dada/mtoto/mama yao anatoka na mwanaume fulani (hasa kama huyo mwanaume haeleweki in a man's perspective world). That is why most fathers wako soooo protective wa watoto wao wa Kike... yaani hujaribu kwa kila njia aweze timiza kila kitu ili mtoto wake yasimpate yale ambayo hata yeye mwenyewe hufanya kwa watoto wa wenzie.... BUT kama inavojulikana dunia haiendi hivo.... What comes around comes back around, na kila mla cha wenzie... chake pia huliwa.
mimi nimewahi kwenda 'out' kwenye first date mdada akiwa amesindikizwa na kaka yake
twice......tulikaa wote bar na kunywa na story kama kawaida...halafu mida mida kaka mtu akatuacha tu peke yetu
Kuna kijana mmoja alikuwa ananitaka, siku hiyo akaja home na kumuomba kaka yangu aniite mimi (ila sikuwepo home), kaka akamuuliza wa nini? Akajibu ni rafiki yangu nataka niiongee nae (kaka alihisi ananitaka kimapenzi). Kaka akaingia ndani akatoka na bonge la panga, akamkimbiza na panga hadi karibu na kwao, tokea siku hiyo ananiogopa km nini hata akiniona anapita mbali!
Jaman mie nahisi sijui ndio maumbile au vp,
Mie ilinitokea hivi;Kwetu hatuna kaka mkubwa kaka yetu ni mdogo wangu wa pili asa siku moja akanikuta natoka church niko na mkaka tunatembea njian tunaongea alipotufikia akanisalimia akamsalimia na yule mkaka alafu eti akasimama akamcheki kiaina alafu akaondoka kumbe kaenda kusimama mahali mie nipokatiza njia ya kwenda hm na yule kaka akaondoka zake kumbe eti alimfata yule kaka na kuanza kumhoji kuhusu mie yule kaka akamwelewesha kuwa ss ni marafiki tu,eti mdogo wangu akamwambia acheze mbali na mie lol!
Nilipojua nilimwita mdogo wangu nikaongea naye kwa upendo na kumshukuru kwa kunijali na kumtoa wasiwasi kuwa niko makin sana na kwa umri nilionao namudu kupambana na wanaume kwa hiyo asiwe anaingilia kwa namna yoyote nitakapo hitaji msaada wake basi nitamwambia,akanielewa natangu siku hiyo wala hana habari hata akiniona na mtu.
mimi nimewahi kwenda 'out' kwenye first date mdada akiwa amesindikizwa na kaka yake
twice......tulikaa wote bar na kunywa na story kama kawaida...halafu mida mida kaka mtu akatuacha tu peke yetu
Aisee....! Ni wachache sana wanoweza kufanya hivyo
Wanaume tuna akili finyu when it comes to love business, ndio maana yanaoa mtu ameshazaa halafu linajidai "mke wangu, je aliyemzalisha!!
nimejiuliza kwahyo pia wanaume waliozaa na wanawake ambao sio wake zao,hao women watawaitaje hao wanaume?and sijui hajui maana ya mke na mume!aisee we hamnazo kweli, tena sio kidogo
kweli kabisa ullijuaje?tena kama mmezaliwa baba mmoja na mama mmoja.na kweli zinawatosha wenyewe!
hayo tena nimakusudinimejiuliza kwahyo pia wanaume waliozaa na wanawake ambao sio wake zao,hao women watawaitaje hao wanaume?and sijui hajui maana ya mke na mume!
ndio zenu madai mnasema eti dada yako akiliwa na ww unakula vya shemeji,unafikili anavyomsindikiza anafata nini?anasubili aonane na shemeji si anajua akimsalimia atapewa ata cha soda,au usiende kusema hme alafu dada akirudi atarudi na zawadi hasa money.Nadhani kaka yule alikuwa 'zoba' fulani hivi! Yaani mwanaume unamsindikiza dada yako ili akapate mshedede!