Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
- #21
Hivi kumbe mtu kuitwa mtoto wa fulani ni lazima biological proof? Vipi kuhusu watoto adopted? Au inakuwa vipi kama mhusika alikubali kuoa mke mwenye mtoto tayari, ina maana mtoto huyo hutengwa? Au wale ambao wake zao hupandikizwa mimba kwa mbegu za mwanamke na/au mwanaume asiye mumewe, ina maana watoto wa zao hilo huwa hawapati hizo viza? Kuna watu kadhaa ninaowafahamu ambao nasikiaga huwa hawana uwezo wa kuzaa, lakini waliendaga South Africa na Ufaransa wakarudi na watoto wanaoitwa wa kwao, hapo DNA najua itagoma, sasa biological proof ya ubaba/umama inakuwaje, na ina maana watoto hao huko ughaibuni wanabaguliwa?
Naomba kuelimishwaHivi kweli walitumia vigezo gani hapo Ubalozini,kwanini walitaka uhalali wa mtoto na hakika alikuwa na birthcertificate,au mwenyewe alikuwa na wasiwasi ??
...Sijui kwa balozi nyingine, lakini masharti ya ubalozi wa uingereza kwa 1st time settlement visa ni;
In January 1991 the UK government introduced a scheme which uses DNA testing to help resolve relationship disputes in immigration applications. These relationship tests are often more complex than standard paternity cases and the analysis and reporting therefore sometimes takes a little longer.
Cellmark is the only company contracted to the UK Border Agency's UKvisas scheme to provide all of their DNA relationship testing. Our results are accepted by United Kingdom and United States immigration departments as well as by other government immigration departments.
source; http://www.cellmark.co.uk/dna_testing/immigration_dna_testing.php