Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi!
Kama mjuavyo Mzee Akilimali ndiye anaye jua yanga ilipo.
Baada ya baraza la wazee wa Yanga kumsimamisha mzee Akilimali uanachama huyu mzee aliona akae kimya bila kusema chochote kile.
Lakini walizuka baadhi ya wanachama wa Yanga hasa vijana wakitaka na kupendekeza mkutano mkuu umvue uanachama wa Yanga kabisa mzee Akilimali .. Bado mzee huyu alinyamaza kimya..
Baada ya mechi ya dhidi ya Azam FC walisikika vijana wakipanga kwenye kumvamia mzee Akilimali nyumbani kwake ili kumfanyia vurugu wakiamini yeye ndio sababu za mvurugano ndani ya Yanga.
Baada taatifa hizo kumfikia mzee Akilimali kupitia E-FM alitoa onyo kali kwa yeyote au kikundi chochote kitakacho gusa kwake na kwenda kufanya vurugu..
Mzee Akilimali alisema
Kama kuna mtu anataka kuicha familia yake aje kufanya vurugu nyumbani kwangu, pia aliongeza kuwa kama kuna mtu anataka kuhama mji bila kupenda basi aje kunifanyia vurugu...
Hata hivyo baada ya onyo hilo kwa mashabiki wa Yanga hakuna aliyegusa kwa mzee wa mjini Akilimali.
Mzee Akilimali alipopigiwa simu kuulizwa alise hajaona mtu yetote kwake ana aliogeza kwa kusema yeye ana Mungu na akasema tena kama kuongea vile kulimuudhi Manji alishaomba radhi na amesema Manji mwenyewe wakishasameheana na Manji hajajiuzulu uenyekiti wa Yanga..
Alipoulizwa kuwa jana hakulala kwake alicheka akasema anayesema si kulala kwangu alifika?
Ushauri.
Wanachama wa Yanga mnapoteza muda kupambana na huyu mzee hamtomuweza yeye ndio anajua Yanga ilipo fichwa.!
Karibuni wana jamvi.
Kama mjuavyo Mzee Akilimali ndiye anaye jua yanga ilipo.
Baada ya baraza la wazee wa Yanga kumsimamisha mzee Akilimali uanachama huyu mzee aliona akae kimya bila kusema chochote kile.
Lakini walizuka baadhi ya wanachama wa Yanga hasa vijana wakitaka na kupendekeza mkutano mkuu umvue uanachama wa Yanga kabisa mzee Akilimali .. Bado mzee huyu alinyamaza kimya..
Baada ya mechi ya dhidi ya Azam FC walisikika vijana wakipanga kwenye kumvamia mzee Akilimali nyumbani kwake ili kumfanyia vurugu wakiamini yeye ndio sababu za mvurugano ndani ya Yanga.
Baada taatifa hizo kumfikia mzee Akilimali kupitia E-FM alitoa onyo kali kwa yeyote au kikundi chochote kitakacho gusa kwake na kwenda kufanya vurugu..
Mzee Akilimali alisema
Kama kuna mtu anataka kuicha familia yake aje kufanya vurugu nyumbani kwangu, pia aliongeza kuwa kama kuna mtu anataka kuhama mji bila kupenda basi aje kunifanyia vurugu...
Hata hivyo baada ya onyo hilo kwa mashabiki wa Yanga hakuna aliyegusa kwa mzee wa mjini Akilimali.
Mzee Akilimali alipopigiwa simu kuulizwa alise hajaona mtu yetote kwake ana aliogeza kwa kusema yeye ana Mungu na akasema tena kama kuongea vile kulimuudhi Manji alishaomba radhi na amesema Manji mwenyewe wakishasameheana na Manji hajajiuzulu uenyekiti wa Yanga..
Alipoulizwa kuwa jana hakulala kwake alicheka akasema anayesema si kulala kwangu alifika?
Ushauri.
Wanachama wa Yanga mnapoteza muda kupambana na huyu mzee hamtomuweza yeye ndio anajua Yanga ilipo fichwa.!
Karibuni wana jamvi.