Akilimali: Kama kuna mtu anataka kuiacha familia yake aje avamie nyumbani kwangu

Wewe jana ulikwenda kwake?
Aende hajitaki haya ni maneno ya kwenye maandishi tu, hebu jiulize hao anaowasema walienda kwa mzee Akili, waliingia mpaka ndani kumtafuta au waliulizia nje. Kama hawakuingia ndani kumtafuta walijuaje hayupo.
 
hayo ndiyo mawazo ya kiume good
 
Maneno mengi ya nini mheshimiwa amesema mfuate na umuulize.
 
Nan anataka kugeuzwa kuwa shoga? Thubutuuuu! Nenden nyie mnaojiona kuwa ni wababe
 
lipuli tawi la simba
 
lipuli tawi la simba
Nasoma gazeti la Habari leo eti limetoa ratiba ya ligi ya EPL kwa leo, bora mwananchi wametoa ratiba ya ligi yetu.
Alafu kwa mentality kama hizi utegemee eti mpira wetu utaendelea siku moja!
 
Aisee hapo hatii mtu mguu chezea Akili Mali.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…