Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Kiukweli maswali yako hayanyegeshi.
Eti tamu baby? 🙄
Ungesubiri mwenyewe aseme. Huna tofauti na anae kwambia kojoa baby.. Kojoa wakati ndo kwanza kaingiza muda huo. Unakata stimu balaa.

🤣🤣🤣🤣🤣 Chawa kama chawa
 
Wewe ndiye una kiherehere. Wewe si upige moto mpaka aanze kuongea yote mwenyewe? Ndiyo, wewe ni chawa. Kwani hiyo papuchi iligeuka kuwa ya mende?

Mtu umemuita mara tatu na haonekani kukuitikia,bado unalazimisha. Eti baby,

Unapenda kudanganywa? Nenda katafute kahaba aliyekubuhu, dole tu anapiga ukelele Dar na mlandizi. Umuulize wewe nani? Atakuambia wewe mungu wake. Ili ufurahi

Msiwe mnalazimisha. Wengine kuwauliza maswali ya kipuuzi yanawakata stimu pia. Msome mtu, ukiona ana muelekeo basi nenda naye huo muelekeo.

Kwanza kupata muda wa kuuliza maswali ni kuonyesha gemu hujalimudu sawasawa. Punguzeni kuangalia porn.
Kuwa na adabu mkuu
 
Kiukweli maswali yako hayanyegeshi.
Eti tamu baby? 🙄
Ungesubiri mwenyewe aseme. Huna tofauti na anae kwambia kojoa baby.. Kojoa wakati ndo kwanza kaingiza muda huo. Unakata stimu balaa.

🤣🤣🤣🤣🤣 Chawa kama chawa
Nyinyi hamjui mapenzi itabidi nifungue darasa humu ndani
 
Peleka moto, piga ile nyau mtoto aongee mwenyewe sio unaanza maswali ya kukata stimu....ukimaliza kuuliza mimi nani unaanza kwenu mpo wangapi aaaagrrr ukitaka maongezi mkakae tu mahali muongee hadi umalize yote CHAWA WEWE😁
Mimi ni nguli wa mahaba nakushangaa sana unavyoandika haya nikajua yaliyomo yamo kumbe hayamo!
 
Back
Top Bottom