Akina dada heshima ni kitu cha bure!

Kiukweli maswali yako hayanyegeshi.
Eti tamu baby? 🙄
Ungesubiri mwenyewe aseme. Huna tofauti na anae kwambia kojoa baby.. Kojoa wakati ndo kwanza kaingiza muda huo. Unakata stimu balaa.

🤣🤣🤣🤣🤣 Chawa kama chawa
 
Kuwa na adabu mkuu
 
Nyinyi hamjui mapenzi itabidi nifungue darasa humu ndani
 
Inabidi umwambie "nikojoe kwa kipi sasa" 🤣🤣
 
Peleka moto, piga ile nyau mtoto aongee mwenyewe sio unaanza maswali ya kukata stimu....ukimaliza kuuliza mimi nani unaanza kwenu mpo wangapi aaaagrrr ukitaka maongezi mkakae tu mahali muongee hadi umalize yote CHAWA WEWE😁
Mimi ni nguli wa mahaba nakushangaa sana unavyoandika haya nikajua yaliyomo yamo kumbe hayamo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…