Akina dada punguzeni kujirahisisha

Akina dada punguzeni kujirahisisha

Wanadhani wanatutia hasara,hawajui hasara inabaki kwao maisha,yani nikishakuchenjua tena kama ndo nimetumia mpaka makinikia,hiyo historia haifutiki maisha yote...
baaambie[emoji14]
 
ahaha umenikumbusha, mtaani kwetu kuna demu mkali balaa, ila anatoa bila hiyana, ktna wanaohonga ila kuna wengne kama mimi tumekula papuch bure.. Dah, mdada yule mtaa mzima 90% wameingia, ila mwaka huu kaolewa na ana mimba, dunia ina vituko. Kilichomsaidia kaolewa mji mwingne.
yap..kadanganya.
siku mume atajua tu
labda wafanane historia
 
Wanawake wenzangu wengine mnatia aibu, jijengeeni msimamo na stara kujistiri ni jukumu lako wewe ushafunua uchi wako kwa hata wasio wapenzi wako ukiombwa gemu kishkaji wala huna hiyana mtoto wa kike unatoa tu.

Unapangilia mpaka wanaume kumi hata kama hao wanaume watakufichia siri bado utadhalilika tu, imagine binti mtaa mzima unaoishi wanajua papuchi yako ikoje, pindo la chupi yako mpaka alama zote huko sirini.

Siku ukaamua kuolewa nusu ya wanaume kwenye ukumbi wanajua uchi wako ukoje, wanampa mkono wa pongezi mumeo huku moyoni wanamdis "umeamua kuchukua jumla si tushagonga sana hapo" hakuna alokufa kwa nyege, kuna njia mhadala za halali kujipatia riziki lakini sio kwa kudanga, unatoa mpaka njia ya haja kubwa kwa ajili ya iphone.

TULIZA KIPAPA CHAKO!
 
Back
Top Bottom