Akina dada punguzeni kujirahisisha

Akina dada punguzeni kujirahisisha

Wanawake wenzangu wengine mnatia aibu, jijengeeni msimamo na stara kujistiri ni jukumu lako wewe ushafunua uchi wako kwa hata wasio wapenzi wako ukiombwa gemu kishkaji wala huna hiyana mtoto wa kike unatoa tu.

Unapangilia mpaka wanaume kumi hata kama hao wanaume watakufichia siri bado utadhalilika tu, imagine binti mtaa mzima unaoishi wanajua papuchi yako ikoje, pindo la chupi yako mpaka alama zote huko sirini.

Siku ukaamua kuolewa nusu ya wanaume kwenye ukumbi wanajua uchi wako ukoje, wanampa mkono wa pongezi mumeo huku moyoni wanamdis "umeamua kuchukua jumla si tushagonga sana hapo" hakuna alokufa kwa nyege, kuna njia mhadala za halali kujipatia riziki lakini sio kwa kudanga, unatoa mpaka njia ya haja kubwa kwa ajili ya iphone.

TULIZA KIPAPA CHAKO!
Hahaha
 
Wanawake wenzangu wengine mnatia aibu, jijengeeni msimamo na stara kujistiri ni jukumu lako wewe ushafunua uchi wako kwa hata wasio wapenzi wako ukiombwa gemu kishkaji wala huna hiyana mtoto wa kike unatoa tu.

Unapangilia mpaka wanaume kumi hata kama hao wanaume watakufichia siri bado utadhalilika tu, imagine binti mtaa mzima unaoishi wanajua papuchi yako ikoje, pindo la chupi yako mpaka alama zote huko sirini.

Siku ukaamua kuolewa nusu ya wanaume kwenye ukumbi wanajua uchi wako ukoje, wanampa mkono wa pongezi mumeo huku moyoni wanamdis "umeamua kuchukua jumla si tushagonga sana hapo" hakuna alokufa kwa nyege, kuna njia mhadala za halali kujipatia riziki lakini sio kwa kudanga, unatoa mpaka njia ya haja kubwa kwa ajili ya iphone.

TULIZA KIPAPA CHAKO!
Mkuu bado upo hai au ulishatangulia mbele za haki?
 
Back
Top Bottom