fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
hela sina kaka ni kupiga story tuNyie kina dada muoneeni huruma huyu fundi wajameni! Hebu mfuateni pm walau mmuombe hata pesa za lunch, salon, shopping nk!
Mkuu me nmekusapoti ila wakija tuletee mrejesho
Mkuu usitaje majina utaonekana mbaguzi!
Ngoja nije huko PM nikuombe hela ya wigi
fanyeni hivyo yaani sijawahi kupata PM ya mdada hata cku moja siijui npo peke yangu au na wenzangu wapo kama mmππππππ
Kama ni story tu mkuu daaahhela sina kaka ni kupiga story tu
basi sawa mkuu sitotaja majina kakaMkuu usitaje majina utaonekana mbaguzi!
kumbuka hela sina ni kupiga story jameniNgoja nije huko PM nikuombe hela ya wigi
Tupo wengi mkuu sema sisi ni wavumilivu tunatumia ile style ya samaki, machozi inakwenda na maji...fanyeni hivyo yaani sijawahi kupata PM ya mdada hata cku moja siijui npo peke yangu au na wenzangu wapo kama mm
muite mkuu
πππππkumbuka hela sina ni kupiga story jameni
duuuh inabidi watuonee huruma kwa kweliTupo wengi mkuu sema sisi ni wavumilivu tunatumia ile style ya samaki, machozi inakwenda na maji...