Akina Kamwe, Manara na Privadinyo waliokuwa 'Wakitupostia' Picha za Miquissone Kipindi cha Usajili mbona sasa wako kimya?

Akina Kamwe, Manara na Privadinyo waliokuwa 'Wakitupostia' Picha za Miquissone Kipindi cha Usajili mbona sasa wako kimya?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mlifanikiwa kweli kweli 'Kuwaokota' Mashabiki wenu wenye Mapungufu ya Asili ya Akili na Kufikiri huku Wakirandaranda Mitaani na Kutamba ujio wake wakati kumbe zilikuwa ni Ndoto za Mchana tu.

Kama kwa sasa tu Mshahara wa Aziz Ki wa Shilingi Milioni 23.5 kwa Mwezi unawatoa Jasho na Mchezaji kila mara anawajambisheni (anawatisheni ) tu kwa kurejea Kwao nchini Burkinafaso ndiyo mtauweza Mshahara wa Shilingi Milioni 49 anazolipwa sasa Luis Miquissone huko aliko kwa Mkopo na akitokea Al Ahly ya Misri?

Siku zingine punguzeni matumizi ya Uvutaji Bangi/ Bange uliopitiliza (kama mnatumia) kwani inasababisha mnakurupuka na kupayuka Mambo ambayo kwa Umasikini mkubwa pamoja na Boss wenu Mkubwa wa Salamander Tower Posta haiwezekani na kamwe haitowezekana.
 
Vipi zile picha za Mwenyekiti wenu akiwa na manzoki?? Mbona hatumuoni msimbazi?, Vipi kuhusu Adebayo au mlipokuwa mnaahidia mlikuwa mmechoma madawa ya kulevya mliyoyaleta kutoka Dubai?.
Manzoki ni majeruhi ilikuwa sio rahisi kumsajili halafu akae nje miez 3 bila kucheza akitibu majeruhi kwetu ingekuwa nguma sana.

Nadhan viongozi walikaa chini wakapata option ni Jean Baleke
 
Manzoki ni majeruhi ilikuwa sio rahisi kumsajili halafu akae nje miez 3 bila kucheza akitibu majeruhi kwetu ingekuwa nguma sana
Nadhan viongozi walikaa chini wakapata option ni Jean Baleke
Majeraha sio majeruhi eboh!! Au umeamkia kubuya ngada 😅.... Vipi alipokuwa vipers?
 
Manzoki ni majeruhi ilikuwa sio rahisi kumsajili halafu akae nje miez 3 bila kucheza akitibu majeruhi kwetu ingekuwa nguma sana.

Nadhan viongozi walikaa chini wakapata option ni Jean Baleke
Sema option ya mchezaji toka Lebanon
 
Sema option ya mchezaji toka Lebanon
Kama biringayan toka niukasto ya kwa mpalange Na yule kambole aliesajiliwa majeruhi mpka leo hajacheza ligi kuu NBCPL
Kwa aibu mkatoa umsukuleni akacheze mapinduzi cup na bado yupo avic town anakula pensheni
 
Back
Top Bottom