GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mlifanikiwa kweli kweli 'Kuwaokota' Mashabiki wenu wenye Mapungufu ya Asili ya Akili na Kufikiri huku Wakirandaranda Mitaani na Kutamba ujio wake wakati kumbe zilikuwa ni Ndoto za Mchana tu.
Kama kwa sasa tu Mshahara wa Aziz Ki wa Shilingi Milioni 23.5 kwa Mwezi unawatoa Jasho na Mchezaji kila mara anawajambisheni (anawatisheni ) tu kwa kurejea Kwao nchini Burkinafaso ndiyo mtauweza Mshahara wa Shilingi Milioni 49 anazolipwa sasa Luis Miquissone huko aliko kwa Mkopo na akitokea Al Ahly ya Misri?
Siku zingine punguzeni matumizi ya Uvutaji Bangi/ Bange uliopitiliza (kama mnatumia) kwani inasababisha mnakurupuka na kupayuka Mambo ambayo kwa Umasikini mkubwa pamoja na Boss wenu Mkubwa wa Salamander Tower Posta haiwezekani na kamwe haitowezekana.
Kama kwa sasa tu Mshahara wa Aziz Ki wa Shilingi Milioni 23.5 kwa Mwezi unawatoa Jasho na Mchezaji kila mara anawajambisheni (anawatisheni ) tu kwa kurejea Kwao nchini Burkinafaso ndiyo mtauweza Mshahara wa Shilingi Milioni 49 anazolipwa sasa Luis Miquissone huko aliko kwa Mkopo na akitokea Al Ahly ya Misri?
Siku zingine punguzeni matumizi ya Uvutaji Bangi/ Bange uliopitiliza (kama mnatumia) kwani inasababisha mnakurupuka na kupayuka Mambo ambayo kwa Umasikini mkubwa pamoja na Boss wenu Mkubwa wa Salamander Tower Posta haiwezekani na kamwe haitowezekana.