mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
-
- #41
Kwa nini niunde wakati tayari vipo vilivyoundwa....ndo mana tunaendesha magari yaliyotengenezwa na wajapani, ndege za wamarikani..............USIONE VINAELEA, VIMEUNDWA!!!!!!!! Tafuta nawe uunde.
Waoh! You are beautiful, Belinda darling...😛oa
msinihukumu jamani, yule mama ni balaa, watu wote walibaki wameduwaa.
Jana jioni nilitia timu pale, nimeambiwa huwa akosekani, tena jana tulikosana kidogo tu...wanadai jana ndo alikuwa ndembendeme!
Kuanzia leo nitakua sibanduki kiwanja kile hadi nionje ladha ya lile tunda.
Halafu hebu futa hizo damu hapo midomoni...baada ya hapo njoo nikupeleke kwa daktari wangu akutibie maana madaktari wenu wote wamegoma.Thank yuuu dearest babu! Nimeumbika na ninajitunza mwaego..
lazima atakuwa mtamu tu, kwa jins alivyo!Thank yuuu dearest babu! Nimeumbika na ninajitunza mwaego..
suala sio mavazi bali maumbile, mavazi yenyewe yamechangia tu kuonesha kilicho ndani.Mavazi ni jambo la kawaida; inategea wewe umetembea kiasi gani, jaribu kutembelea club za Kampala ndo utajua kuwa ulichoona ni cha kawaida. Mimi niliyaona hadi nikayazea na sasa hayanisumbui kabisa. Miaka kama 10 hivi iliyopita ndo nilikuwa naangaishwa na mavazi ya wanawake.
Asee yule bibi, acheni tu
ndo naenda kumrushia mawili matatu mana nimeambiwa kuwa kila siku yupo pale.pole sana....ni wazi alikukwaza sana....vipi uliweza hata kuongea nae mawili matatu?