Akina mama siku hizi....mitego tupu!

Akina mama siku hizi....mitego tupu!

USIONE VINAELEA, VIMEUNDWA!!!!!!!! Tafuta nawe uunde.
Kwa nini niunde wakati tayari vipo vilivyoundwa....ndo mana tunaendesha magari yaliyotengenezwa na wajapani, ndege za wamarikani..............
 
Dah! Kweli umepania, usisahau kuja kutusimulia ladha utakayokutana nayo

msinihukumu jamani, yule mama ni balaa, watu wote walibaki wameduwaa.
Jana jioni nilitia timu pale, nimeambiwa huwa akosekani, tena jana tulikosana kidogo tu...wanadai jana ndo alikuwa ndembendeme!
Kuanzia leo nitakua sibanduki kiwanja kile hadi nionje ladha ya lile tunda.
 
Thank yuuu dearest babu! Nimeumbika na ninajitunza mwaego..
Halafu hebu futa hizo damu hapo midomoni...baada ya hapo njoo nikupeleke kwa daktari wangu akutibie maana madaktari wenu wote wamegoma.
 
Mavazi ni jambo la kawaida; inategea wewe umetembea kiasi gani, jaribu kutembelea club za Kampala ndo utajua kuwa ulichoona ni cha kawaida. Mimi niliyaona hadi nikayazea na sasa hayanisumbui kabisa. Miaka kama 10 hivi iliyopita ndo nilikuwa naangaishwa na mavazi ya wanawake.
 
Mavazi ni jambo la kawaida; inategea wewe umetembea kiasi gani, jaribu kutembelea club za Kampala ndo utajua kuwa ulichoona ni cha kawaida. Mimi niliyaona hadi nikayazea na sasa hayanisumbui kabisa. Miaka kama 10 hivi iliyopita ndo nilikuwa naangaishwa na mavazi ya wanawake.
suala sio mavazi bali maumbile, mavazi yenyewe yamechangia tu kuonesha kilicho ndani.
Afterall mimi sipo kampala.

Kingine, hivi umeiona hiyo signature yako?
 
Back
Top Bottom