Akinamama na utunzaji wa usafiri (gari)

Akinamama na utunzaji wa usafiri (gari)

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Daah baadhi ya hawa wenzetu ni changamoto sana kwenye utunzaji vyombo vya usafiri hasa gari ya nyumbani.

Wanachokijua ni kuwasha gari na kutoka nalo mkuku.

Maadam wese lipo yeye anachojua ni kuwasha gari na kusepa.

Huko mabarabarani saivi wao ndo wanaongoza kwa mbio na hapo hana habari barabara ina hali gani yeye maadam anaona gari inatembea basi ni kanyaga twende. Mabonde mawe madimbwi yeye anafukia tu.

Sasa mzee unarudi unakamata usukani unashangaa gari inavopiga makelele utafikiri ina chekeche huko chini.

Yeye hana habari sanasana nayeye anashangaa utafikiri gari ilikuwa inaendeshwa na mtu mwingine kabisa.

Daah[emoji22] inaboa sana wakuu
 
Bado kulikwangua na kujifanya hajui lolote..

Binafsi kama ni gari zamani nilikuwa na kasumba ya kuwa GARI ukinunua kwa Mwanamke basi ipo poa.. ila kiukweli asilimia kubwa ni mbovu na zimepitia changamoto sana.

Kuna aina ya watu sinunui gari kwao.

1- Mlevi
2- Mwanamke
 
Cha kufanya ni kimoja, akishajifunza kuemdesha unamnunulia second hand anapambana nayo na unakua unamfundisha zile basic things. Akisha master ndo unamnunulia mpya kwa kigezo kua asipoitunza itakua ngumu kuiuza ili achukue chuma ingine.
Simpo!
 
Gari ya mwaume unaweza ikuta chafu kupitiliza kwa nje ila ndani safi sana. Gari za wenzetu sasa nje safi ingia ndani, utakuta mifupa ya kuku ya juzi, mabaki ya chips, maganda ya machungwa mpaka kibobo chenye mikojo ya tokea wiki iliopita
 
Daah baadhi ya hawa wenzetu ni changamoto sana kwenye utunzaji vyombo vya usafiri hasa gari ya nyumbani.

Wanachokijua ni kuwasha gari na kutoka nalo mkuku.

Maadam wese lipo yeye anachojua ni kuwasha gari na kusepa.

Huko mabarabarani saivi wao ndo wanaongoza kwa mbio na hapo hana habari barabara ina hali gani yeye maadam anaona gari inatembea basi ni kanyaga twende. Mabonde mawe madimbwi yeye anafukia tu.

Sasa mzee unarudi unakamata usukani unashangaa gari inavopiga makelele utafikiri ina chekeche huko chini.

Yeye hana habari sanasana nayeye anashangaa utafikiri gari ilikuwa inaendeshwa na mtu mwingine kabisa.

Daah[emoji22] inaboa sana wakuu
kwenye ile siku yao ya wanawake hili nalo wakalitizame upya
 
Daah baadhi ya hawa wenzetu ni changamoto sana kwenye utunzaji vyombo vya usafiri hasa gari ya nyumbani.

Wanachokijua ni kuwasha gari na kutoka nalo mkuku.

Maadam wese lipo yeye anachojua ni kuwasha gari na kusepa.

Huko mabarabarani saivi wao ndo wanaongoza kwa mbio na hapo hana habari barabara ina hali gani yeye maadam anaona gari inatembea basi ni kanyaga twende. Mabonde mawe madimbwi yeye anafukia tu.

Sasa mzee unarudi unakamata usukani unashangaa gari inavopiga makelele utafikiri ina chekeche huko chini.

Yeye hana habari sanasana nayeye anashangaa utafikiri gari ilikuwa inaendeshwa na mtu mwingine kabisa.

Daah[emoji22] inaboa sana wakuu
Pole sana
 
Back
Top Bottom