Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Daah baadhi ya hawa wenzetu ni changamoto sana kwenye utunzaji vyombo vya usafiri hasa gari ya nyumbani.
Wanachokijua ni kuwasha gari na kutoka nalo mkuku.
Maadam wese lipo yeye anachojua ni kuwasha gari na kusepa.
Huko mabarabarani saivi wao ndo wanaongoza kwa mbio na hapo hana habari barabara ina hali gani yeye maadam anaona gari inatembea basi ni kanyaga twende. Mabonde mawe madimbwi yeye anafukia tu.
Sasa mzee unarudi unakamata usukani unashangaa gari inavopiga makelele utafikiri ina chekeche huko chini.
Yeye hana habari sanasana nayeye anashangaa utafikiri gari ilikuwa inaendeshwa na mtu mwingine kabisa.
Daah[emoji22] inaboa sana wakuu
Wanachokijua ni kuwasha gari na kutoka nalo mkuku.
Maadam wese lipo yeye anachojua ni kuwasha gari na kusepa.
Huko mabarabarani saivi wao ndo wanaongoza kwa mbio na hapo hana habari barabara ina hali gani yeye maadam anaona gari inatembea basi ni kanyaga twende. Mabonde mawe madimbwi yeye anafukia tu.
Sasa mzee unarudi unakamata usukani unashangaa gari inavopiga makelele utafikiri ina chekeche huko chini.
Yeye hana habari sanasana nayeye anashangaa utafikiri gari ilikuwa inaendeshwa na mtu mwingine kabisa.
Daah[emoji22] inaboa sana wakuu