Akinamama na utunzaji wa usafiri (gari)

Akinamama na utunzaji wa usafiri (gari)

ikiharibika sasa anaruka mita mia na wala hataki kusikia hela yake inaenda kutengeneza vyuma[emoji1787]
Aisee ni kweli kabisa,na kama mna watoto hakawii kuwasakizia au kukusakizia wewe mwenyewe.Wanaponifurahisha wanayoshika usukani basi,macho mbele utafikiri kaona korongo,cha kushangaza akifika kwenye shimo analiingia mazima...
 
Hawajui kuangalia oil wala maji

Maji na oil tunaangaliaga mara moja japo ingine oil na maji ya waipa 😄 🤣

Ila huko sijui gari kugongagonga, sijui vinini vya kubadilisha sijui kuosha injini tumeshashindwaga

Tena pesa ya service inatuumaga balaaa yaani mimi nikiiwazia najisemea kwanza Sina mizunguko ya mbali... hii pesa ngoja nikanunue kwanza vitu vya jikoni na watoto na baba 😆
 
Maji na oil tunaangaliaga mara moja japo ingine oil na maji ya waipa 😄 🤣

Ila huko sijui gari kugongagonga, sijui vinini vya kubadilisha sijui kuosha injini tumeshashindwaga

Tena pesa ya service inatuumaga balaaa yaani mimi nikiiwazia najisemea kwanza Sina mizunguko ya mbali... hii pesa ngoja nikanunue kwanza vitu vya jikoni na watoto na baba 😆
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wanawake wote mpo hivyo yaani utoe 150,000 ya service alafu nyumbani gesi umeisha!!! Thubutuuu
 
Maji na oil tunaangaliaga mara moja japo ingine oil na maji ya waipa [emoji1] [emoji1787]

Ila huko sijui gari kugongagonga, sijui vinini vya kubadilisha sijui kuosha injini tumeshashindwaga

Tena pesa ya service inatuumaga balaaa yaani mimi nikiiwazia najisemea kwanza Sina mizunguko ya mbali... hii pesa ngoja nikanunue kwanza vitu vya jikoni na watoto na baba [emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom