Wanawake wengi huchukulia huruma ya wanaume kama udhaifu, wengi wanaume wamefilisiki kufa kushindwa maisha kwa huruma wakijinga nina marafiki wengi wanajutia maamuzi yao walio fanya kwa kuongozwa huruma kwa ma ex wao.
Usiwe mjinga wakufikilia kwamba huyu ambae amerudi katika maisha yako karudi kwa mapenzi au kujutia alio fanya, wengi hurudi kwasbabu mambo hayajaenda kama alivo panga na kutegemea, anarudi kwako kwasababu ana kuona we ni Fala wakutafutia unafuu wa maisha, kule aliko enda pamegonga mwamba,
Kumbuka huyu ni mtu ulio mkuta na meno 32 tayari, sio kwamba amerudi kwasbabu anamapenzi nawewe au anakuthamini sanaa kuliko wengine kamwe usidanganyike.
Ameshwa tumikishwa vya kutosha Uhuru aliokua anaulilia haukuzaa matunda amekosa ulinzi, matunzo nk ndoa ni ngumu kwao akiwa ndani ni adimu sana akiwa unaitafuta, usimpokee kama aliondoka mara ya kwanza ataondoka tena haja badilika tabia amerudi sio kukujenga ila kukutumia kwa mipango yake.
We mwanaume jifunze kwamba mwanamke anae ondoka kwa ajili ya faida zake sio rahisi kujutia kitendo chake anarejea kwako baada ya kuona kwamba alichokua anafikiri sio, mitaani ni pangumu sanaa, sio kweli kwamba anatafuta mapenzi kwako laa anafuta kutumia mapenzi kubebwa ajalibishe tena mara ya pili.
Kabla hujamrudisha jiulize haya masuali:
1. Kwanini aliondoka mara ya kwanza.
2. Anasababu za kujiueleza kwanini aliondoka atarudisha je maumivu ilio pitia wakati ule
3. Kaongezeka thamani yoyote baada ya kuondoka au ndo imeshuka zaid anarudisha tu shida zako kwako?
Kupokea singo maza kama huyu haitakusaidia tena badala ndo utakua mwanzo wa anguko lako la milele hawezi kukujenga mwana mke anae penda mme hawezi kuondoka kwasababu kuna mbadala wa maisha sehemu nyingine, mke anae kupenda kwa dhati hata maisha yakiwa magumu kiasi gani ata kuvumilia mda wote atakuthamini ata kuheshimu atakutunzia siri hatakujaribisha nk.
Nb.
Komesheni hao masingo maza kwa kutowapokea tena, ili waache hizo tabia zao za kudanga danga kwa kutafuta 'Green pasture' else where, kwa kujificha kwenye mapenzi
Usiwe mjinga wakufikilia kwamba huyu ambae amerudi katika maisha yako karudi kwa mapenzi au kujutia alio fanya, wengi hurudi kwasbabu mambo hayajaenda kama alivo panga na kutegemea, anarudi kwako kwasababu ana kuona we ni Fala wakutafutia unafuu wa maisha, kule aliko enda pamegonga mwamba,
Kumbuka huyu ni mtu ulio mkuta na meno 32 tayari, sio kwamba amerudi kwasbabu anamapenzi nawewe au anakuthamini sanaa kuliko wengine kamwe usidanganyike.
Ameshwa tumikishwa vya kutosha Uhuru aliokua anaulilia haukuzaa matunda amekosa ulinzi, matunzo nk ndoa ni ngumu kwao akiwa ndani ni adimu sana akiwa unaitafuta, usimpokee kama aliondoka mara ya kwanza ataondoka tena haja badilika tabia amerudi sio kukujenga ila kukutumia kwa mipango yake.
We mwanaume jifunze kwamba mwanamke anae ondoka kwa ajili ya faida zake sio rahisi kujutia kitendo chake anarejea kwako baada ya kuona kwamba alichokua anafikiri sio, mitaani ni pangumu sanaa, sio kweli kwamba anatafuta mapenzi kwako laa anafuta kutumia mapenzi kubebwa ajalibishe tena mara ya pili.
Kabla hujamrudisha jiulize haya masuali:
1. Kwanini aliondoka mara ya kwanza.
2. Anasababu za kujiueleza kwanini aliondoka atarudisha je maumivu ilio pitia wakati ule
3. Kaongezeka thamani yoyote baada ya kuondoka au ndo imeshuka zaid anarudisha tu shida zako kwako?
Kupokea singo maza kama huyu haitakusaidia tena badala ndo utakua mwanzo wa anguko lako la milele hawezi kukujenga mwana mke anae penda mme hawezi kuondoka kwasababu kuna mbadala wa maisha sehemu nyingine, mke anae kupenda kwa dhati hata maisha yakiwa magumu kiasi gani ata kuvumilia mda wote atakuthamini ata kuheshimu atakutunzia siri hatakujaribisha nk.
Nb.
Komesheni hao masingo maza kwa kutowapokea tena, ili waache hizo tabia zao za kudanga danga kwa kutafuta 'Green pasture' else where, kwa kujificha kwenye mapenzi