Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣Harakati za pimbi online ila offline mambo ni tofauti kabisa
Totoo hebu waache wenzio wajifariji bwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Harakati za pimbi online ila offline mambo ni tofauti kabisa
ShindikanaaKey board worriors 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mshapigwa huko, mkija online mnajifanya miamba.
Muhudumuuu, ongeza nyingine🍿🍷
Hapo hamna kitu asari olilisha ondolea ilibaki makapi tu.Nmeona kipini puani ila rangi hiyo yenyewe
Tatizo unafiki, washkaji zangu kibao walikua na mitazamo hii sioi single mother, akizingua natimua, sioi mapema etc wengi wameoa single mothers 😁😁🤣🤣🤣🤣
Totoo hebu waache wenzio wajifariji bwana.
Hao vijana walio oa singo maza ni wa wapi uko? Kwetu wote Walisha ambizana hamna kuoa singo maza hata iwe je walijifunza kolicho watokea wenzao.Tatizo unafiki, washkaji zangu kibao walikua na mitazamo hii sioi single mother, akizingua natimua, sioi mapema etc wengi wameoa single mothers [emoji16][emoji16]
Mimi mzee baba kuoa singo maza siwezi maana Nina kinyama cha karibu afu nawahi kumchoka mtu nikifanya nae mapenz vigezo ni tabiaTatizo unafiki, washkaji zangu kibao walikua na mitazamo hii sioi single mother, akizingua natimua, sioi mapema etc wengi wameoa single mothers 😁😁
Kuoa singo maza ukiwa bado kijana mdogo ni upumgufu wa akili hutakuja ku-rnjoy maisha kabisa.Mimi mzee baba kuoa singo maza siwezi maana Nina kinyama cha karibu afu nawahi kumchoka mtu nikifanya nae mapenz vigezo ni tabia
Ili kuwakwepa usiweke ukaribu nao Wala kuwadate hao watu ukiingia kwenye mfumo wao huchomokiMimi mzee baba kuoa singo maza siwezi maana Nina kinyama cha karibu afu nawahi kumchoka mtu nikifanya nae mapenz vigezo ni tabia
🤣🤣🤣🤣 niletee maembe 20.Shindikanaa
Yaani huku mitandaoni ukiwasikiliza utajua wako serious🤣🤣🤣Tatizo unafiki, washkaji zangu kibao walikua na mitazamo hii sioi single mother, akizingua natimua, sioi mapema etc wengi wameoa single mothers 😁😁
Yani kitandani tulale watatu🤣Kuoa singo maza ukiwa bado kijana mdogo ni upumgufu wa akili hutakuja ku-rnjoy maisha kabisa.
Sawa mke wangu🤣🤣🤣🤣 niletee maembe 20.
Mkuu ukiwa na msimo unachomoka hawawexi kuficha hisia za kule waliko tokaIli kuwakwepa usiweke ukaribu nao Wala kuwadate hao watu ukiingia kwenye mfumo wao huchomoki
Oya si kujifariji mwanamke aliniambia tu anamtoto ntamchekea kinafiki. Nikipga tu k kazi kwishaYaani huku mitandaoni ukiwasikiliza utajua wako serious🤣🤣🤣
Kumbe wanajifariji tu.
Kwani akizaa wakwako mtalala wangapi?Yani kitandani tulale watatu[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oya si kujifariji mwanamke aliniambia tu anamtoto ntamchekea kinafiki. Nikipga tu k kazi kwisha
Wakati anaondoka alitamani asikuachie chochote na hakuhurumia inakuaje wewe unaingiwa na huruma ya kurusisha hiyo sheitani? Wengi wanakifa kiujinga hivo hivoHoja ni ya msingi sana kwani tuliowahitendwa na kuweka huruma yaliyotokea mleta mada kama alikuwepo vile.Huku ni kujitafutia kifo bure na hoja ya watoto kuteseka jitathmini mwenyewe mwanaume kwa yafuatayo:1.Kukuasi wewe ni kwa sababu aliona pema zaidi ya hapo kwako.2.Alipopema na kukuta si pema aligundua kuwa kaharibu palipokuwa pema hapo awali.3.Umejiridhishaje kama safari yake ya kusaka pema imefikia ukomo?4.Ka kuwa mzunguko wote huo hakukuamini kama wawezawalea vema watoto na hivyo kote alikopema alipema na wanae,je hiyo huruma yako imetoka wapi wakati yeye alikuacha kama ulivyo?