Pre GE2025 Akishinda Mbowe Chadema itakuwa na fedha bila Wapiga Kura na akishinda Tundu Lissu Chadema itakuwa na Wapiga Kura bila fedha, chaguo ni lako!

Pre GE2025 Akishinda Mbowe Chadema itakuwa na fedha bila Wapiga Kura na akishinda Tundu Lissu Chadema itakuwa na Wapiga Kura bila fedha, chaguo ni lako!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa

Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe

CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno 😄

Ahsanteni Sana
Upo sahihi ndiyo maana CCM wanataka ashinde Mbowe
 
Hawaoni kuwa wakimchagua mbowe watapata kura chache sana, watashangaa ACT kitakuwa chama cha pili kwa kupata kura nyingi
 
Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa

Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe

CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno 😄

Ahsanteni Sana
Ruzuku ya CDM inawafaidisha akina nani!? Kwa hiyo hata ikipata pesa za rushwa wanufaika wakubwq watakuwa ni watu hao hao.

Ni heri kupata heshima kwa njia za kiutu na kiungwana, kuliko kutafuta heshima kwa njia ya rushwa. Ni heri kuchagua heshima ya kiutu kuliko kununuliwa kwa vipande vya pesa.

Wajumbe wa Mkutano Taifa kazi wanayo. Ama waende na timu ya Mbowe-Wenje ama ile ya Lissu-Heche.

The best thing is to be SMART and not CLEVER.
 
Mbowe huiba pesa za chama anajimilikisha kwa kuzitakatisha kwa visingizio kuwa alikuwa kakikopesha chama Madeni hewa kuharalisha wizi wake
 
Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa

Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe

CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno 😄

Ahsanteni Sana
Wanachama ni hazina tosha kabisa ambayo inaweza kutumika kuleta fedha.
 
Mbowe anatumia pesa nyingi kununua uenyekiti kwa hofu ya kuumbuka madudu wizi wake endapo ataingia mwenyekiti mpya, kamati yake ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, Boniface, sugu na wenye wanahaha saa 24 kila kumdhoofisha Lisu
 
Back
Top Bottom