Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.

Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.

au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?

Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
 
Wanao mchukia GENTAMYCENE Wajitafakari sana Kwani kwa kuendeleza chuki dhidi yake, ni Kumuongezea umaarufu binafsi Namkubali sana Make Huwa anawapa makavu hao, Utopolo Gongo Wazi.
 
Bwana ametenda miujiza.

Vile huku sasa atatumia jina la kipaimara
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mipumbavu ) iliyokubuhu hapa kujua.
 
Kwa mara ya kwanza naona mtu anajichukia mwenyewe!
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mipumbavu ) iliyokubuhu hapa kujua.
 
Ulisema Yanga itashinda, Leo unalazimisha misifa usiyostahiki. Hovyoo
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mipumbavu ) iliyokubuhu hapa kujua.
 
Kwa nini usiseme moja kwa moja "nipeni heshma yangu".
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijha ) iliyokubuhu hapa kujua.
 
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mipumbavu ) iliyokubuhu hapa kujua.
😊😊😊😊😊
 
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.


Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Anastahili pongezi huko alipo.

Genta ana shobo sana lakini huwa anaongea sense nyingi.

Msalimie mwambie Yanga wamepigwa kitu cha ncha kali
 
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.

Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.

au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?

Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
UNA IDs NYINGI KIPUMBAVU TU MAANA HAZIKUSADII CHOCHOTE. UNATAKA SIFA ZA KIJINGA TU JF.
 
Back
Top Bottom