Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi nami nitengeze ID mbadalaMwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.
Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.
au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?
Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
hebu na wewe unakosea jina la mwamba eti gengamycine.....nini shida una kimbilia wapi ....ebu tulia na uandike upya....K
Kwako jina la gengamycine Ni sumu Kali
unamanisha uandishi wa matamshi yanayofikirika kichwani na uwasilishaji na Matumizi ya lughaNazidi kulielewa neno ID.
Yaani ht ufake vipi, ID ni ID.
Kabisa kabisaunamanisha uandishi wa matamshi yanayofikirika kichwani na uwasilishaji na Matumizi ya lugha
kwanza ni kwambie huyo bwana ana uhusiano wa karibu na informers wa simba ambao humpa ushirikiano kwa kumpa siri za waganga wao na mara nyingi hutoa maelezo kutoka kwa hao viongozi wao na all the times ni kukusia tu sema makisio hayo huja na bahati basi, hakuna kingine.Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.
Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.
au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?
Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Jitahidi ziwe angalau kama 25 hivi walizonazo wengine kisha chagua chache za kukupa Umaarufu hapa JamiiForums na zingine za Kukutambulisha Wewe ni Mwanamke na baadhi za Kuchafua tu hali ya Hewa hapa huku zingine ukijigawa moja ni ya kuwa mwana CHADEMA na nyingine ukijifanya ni mwana CCM na za mwisho ukijifanya ni Mtu Mwema huku nyingine ikikutambulisha ni Mtu Mtukutu.Inabidi nami nitengeze ID mbadala
Jiandae kuambiwa na Juha Mkuu hapa JamiiForums Tate Mkuu na Wenzake kuwa hii ID yako na hivi ulivyonisifia ni Yeye huyo GENTAMYCINE Wao kwani hata Mimi na hii ID yangu ya MINOCYCLINE wanalazimisha kuwa ni ya huyo huyo Mume Wao GENTAMYCINE ambaye wanamuimba 24/7 hapa Jamvini.mi kwa ujumla namuelewa bwana GENTA....ila kuna vilaza vichwa vibovu sijajua shida nini ....wana mchukia mwana....!!
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijuha ) iliyokubuhu hapa kujua.Gentamycin ni sawa na askari wa zanzibar tu...well renowned narcist and hypocrite.....hovyoooo
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi Mizuzu ( Mijuha ) iliyokubuhu hapa kujua.Wambie wakutoe ban unapata shida ya kuja na akaunt nyingine
Unataka Kiki tu kakaMwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.
Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.
au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?
Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Endeleeni tu Kumjadili na Ujuha wenu.Unataka Kiki tu kaka
Au ndo wewe Mwenyewe GENTAMYCINEMwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.
Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.
Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.
au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?
Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Acha kunifananisha na Wajinga Ok?Au ndo wewe Mwenyewe GENTAMYCINE