Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

Akitoka BAN apewe Heshima yake JamiiForums kwani kwa 100% alichokisema Kimetokea Jana

Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.

Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.

au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?

Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Una tabia za Mke wa mtu mdangaji.. Unatoka na Madera mtaani, ukifika viwanja una vimini.

Hata JF unafosi followers [emoji2][emoji2]
 
Bwana ametenda miujiza.

Vile huku sasa atatumia jina la kipaimara
Jina la kwenye cheti cha kuzaliwa.
Jina la ubatizo.
Jina la kipaimara.
Jina la mtaani.
Jina la shuleni upili.
Jina na chuoni.
Jina la bebi wake.
Yaani mtu anatumia majina si chini ya saba.
 
Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu,
Hebu weka tabiri zake nyingine 9 ambazo zimetokea kama alivyotabiri ili tuthibitishe hiyo accuracy rate ya 90%
 
Moderator aya mambo nyie wenyewe ndo mna ya entertain hivi mmeshindwa kuziunga hizi ID zote za uyu jamaa??
cc.
Paw Maxence Melo
Eti MINOCYCLINE ndiyo GENTAMYCINE. Wewe Jamaa ni Pumbavu hakuna mfano hapa duniani.

Nilicho na uhakika nacho ni kwamba ID yangu hii ya MINOCYCLINE itaendelea kuwepo na ya huyo Mume wenu GENTAMYCINE mnayemshobokea Kutwa hapa na Kulazimisha Kunifafanisha nae itaendelea kuwepo.

Mwendawazimu mkubwa Wewe Ok?
 
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.

Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.

au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?

Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
[emoji23][emoji23] hizi akili hua unazitoa wapi
 
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa JamiiForums.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) kwa muda wa Wiki nzima kabla ya Mechi ( Derby ) ya Simba na Yanga alisema ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Yanga SC itafungwa na Simba SC na Kweli Simba SC jana Kafungwa.

Mwanachama huyu ( GENTAMYCINE ) katika moja ya Uzi wake alituhakikishia hapa kuwa anaona Yanga SC Kufungwa Goli nyingi na Simba SC ila anaziona Goli 2 kwa 0 kama Yanga SC wakijitahidi Kuyapunguza na kweli Yanga SC ikafungwa idadi hiyo hiyo ya Magoli.

Hata Mimi MINOCYCLINE nisifiche huyu Jamaa ( GENTAMYCINE ) simpendi na Yeye anajua hilo ila najiuliza huyu Jamaa ana Baraka gani kwani akitabiri Kitu kwa 90% kitatokea lakini tunajitahidi Kutwa Kumchukia, Kumkashifu, Kumdhalilisha huku mara kwa mara tukimuombea BAN kwa Moderators ambao nao hutupa Ushirkiano kwa kumpa BAN haraka ila bado tu anakuwa Mtu maarufu kutuzidi na hata akiwa BAN ( Kifungoni ) bado anaendelea kuwa Gumzo na sehemu Kuu ya Mjadala hapa JamiiForums.

au Kumchukia Kwetu Kutwa hapa JamiiForums ndiko Baraka zake Kuongezeka?

Alichotabiri Kimetokea hiyo Jana.
Pumbavu Una ID ngapi wewe genta
 
Back
Top Bottom