Uchaguzi 2020 Akiwa Shinyanga Mjini Rais Magufuli anawataka Wananchi wasichague Mbunge wa Upinzani hata kama anafaa, kweli?

Rais chagua Mkapa lakini mbunge ni chaguo lako by J K Nyerere 1995 Iringa mjini
 
Alete sera za maendeleo aache kutoa hotuba za chuki.
Hana cha kuongea wala kukumbusha. Nyimbo za uchumi wa kati, midege na madaraja ya Dar hazina mvuto huku vijijini. Wakulima kama si uwepo wa uchaguzi walikuwa wamekopwa for good. Hadithi za makinikia ni vichekesho vitupu vya akina Kabundi.
 
Hizi hesabu zako zinaitwaje, au ndo Magufuliglus?
 
We fala kweli unajaza seva za watu na maswali yako ya kijinga. We unaweza kufungua duka alafu wateja wakija unawaambia wakanunue duka la jirani kuna vitu vizuri kuliko dukani kwako?
 
Huyu ni rais wa tumbo lake na familia yake,mtu yoyote makini hawezi kutamani kufanya kazi na watu wasio faa.Nashangaa ni mtanzania wa aina gani anayeweza kupoteza muda wake kwenda kumsikiliza huyu incompetent
 
Wakuu tuache ushabiki maandazi, hata kama hatumpendi jee nyinyi mlitegeaaseme tofauti ?, au mnategemea Mbowe aseme umchague mwana CCM kwa ubunge hata awe ndugu yake. Tujitahidi kufikiri kidogo sio kupiga mayowe kwa kila kitu.
 
Mkimuona Magufuli ni kama vile anumwa ngozi umepauka pauka hivi ngozi imejikunja kunja haishiki mafuta .
 
bado tuna mioyo ya unyani,miili inaonekana ni binadamu lakini ndani ni masokwe,itafika kipindi tutaaza kulana nyama hadharani
 
wezi wa kura nyinyi ,ccm toka lini mkashinda
 
Ulitegemea ampigie kampeni wa upinzani.
Hivi kweli we kichwani zimo.
Upinzani nani umesikia akimpiga kampeni mwenzake ashinde.

Kanuni ya " Mtangulize mwenzako"
Ni kwa watu wa dini tu

Na wanasiasa hawana dini wala kanuni za Mungu hazitumiwi
 
Haaa,,,!!! Chadema kuna mambo mepesi yanawaumiza nafsi,,,!!!.
Aanze Lissu basi kuonyesha fair play aseme hivi"wanachadema kama kuna wagombea wa CCM wanaofaa muwape kura"
 
Kama wewe ni mshabiki wake basi inabidi ukapimwe akili, hauko sawa sawa wewe.
CHIZI PIA HUONA WENZIE NDO MACHIZI. HIVYO KIPIMO CHA AKILI/UCHIZI NI KIGUMU SANA.
Kila mtu ana Uhuru wa kuamua anachotaka kuamini. ila usivunje sheria na kuingilia Uhuru wa wengine.
Cha muhimu ni Tuhamasishane Tukapige Kura Uchaguzi ukifika.
ili Tutumie vizuri haki yetu kikatiba.
 
Kosa liko wapi? Huu ni ushindani, kila mmoja anasema ya kuvutia kwake. Mbona mnasema CCM majambazi lakini hawalalamiki? Matusi, kejeli na dharau dhidi ya CCM vimepita kiwango lakini wanavumilia. Vumilieni pia au mkiweza semeni na nyie pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…