Uchaguzi 2020 Akiwa Shinyanga Mjini Rais Magufuli anawataka Wananchi wasichague Mbunge wa Upinzani hata kama anafaa, kweli?

Kuna moja ya uzi ulishawahi kuletwa hapa jukwaani wa "One term president" nafikiri sasa ni wakati wake wakufikia utimilifu wake wote. Zile sauti za kolidoni na wale wahusika sasa ni wakati wao wakutimiza unabii huu.
mbenge, unabii umetimia kama ulivyoagiza
 
mbaguzi na mkabila ndo huyo kashaenda
Huyu Shetani Mungu kamuonyesha uwezo. Kaiba kura za Oktoba 2020 zote Ila Mungu kamuacha siku 120 ambazo alikuwa anahangaika na mamitungi ya oxygen. Kisha kachukua roho yake.

Mungu amejua uovu wake, angeendelea Tanzania ingekuwa kama Zimbabwe kiuchumi
 
Kuna moja ya uzi ulishawahi kuletwa hapa jukwaani wa "One term president" nafikiri sasa ni wakati wake wakufikia utimilifu wake wote. Zile sauti za kolidoni na wale wahusika sasa ni wakati wao wakutimiza unabii huu.
Duh
 
Maneno ya Kampeni tu na wanaoambiwa Wana utashi na akili zao, wakiruhusu hilo, Sawa!

Mimi ni mshabiki wa Magufuli Ila Mbunge ni lazima nipembue anayenifaa, awe ni wa CCM au Chama chochote kile
Maneno mabaya ya huyu mtu wenu yatamwandama hadi siku ya kiama
 
Kuna moja ya uzi ulishawahi kuletwa hapa jukwaani wa "One term president" nafikiri sasa ni wakati wake wakufikia utimilifu wake wote. Zile sauti za kolidoni na wale wahusika sasa ni wakati wao wakutimiza unabii huu.
Yametimia mkuu
 
Hawezi kuwa anafaa, kwa sababu chungu lazima kiwe na mafia matatu DIWANI MBUNGE NA RAIS. Magufuli alijieleza vi urine Tabata siku ile akimnadi Gwajima. Alisema kuwa Mbunge Halima alikuwa anapinga bajeti za kusaidia ujenzi Kawe kwa vile tu ni mpinzani. Utasema "anafaa"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…