Akon aongeza moto kwenye Petroli

Akon aongeza moto kwenye Petroli

Hatimaye ule msemo wanaume tutafute hela Ili mapenzi yanoge Akon ameugeuza kichwa chini miguu juu🤣🤣

Kabla ya kuhitimisha mada wajumbe na Mimi nakazia hiyo asilimia mbili aliyosema Akon ni kubwa sana.Tukienda na asimia moja mpaka moja na nusu ya jumla ya mapato yetu yote dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi
 
Screenshot_20241001-164618~2.jpg
 
Mbinu za utajiri ni Mbili tu,
1.Upunguze matumiz ikiwa kipato chako ni kidogo
2.Uongeze kipato ili umaintain kiwango cha matumiz yako.
Hizo zote ni aina za Ubahiri.

Namaanisha Mbinu za Utajiri ni ubahiri hasa kwenye starehe na kufurahisha watu specifically kuhonga.
 
"Nilipopata kwa mara ya kwanza takribani bilion 3 ,niliwapa mama na baba yangu zaidi ya milioni 400 kila mmoja na mwanamke wangu akaachana namimi kwa sababu nilimpa milioni 13 tu." __ Akon

"Nilipopata bilion 3 yangu ya kwanza kutoka kwenye muziki, nilifurahi sana kwamba nilitumia kila kitu haraka sana. Kitu cha kwanza nilichonunua ni studio ili ikiwa kila kitu kitashindikana, niwe naandika na kutengeneza rekodi za wasanii wengine.

Nilitumia takriban m 680 kwenye seti hiyo ya studio. Kisha nikachukua m 400 na kumpa mama yangu, nikachukua ml 400 nyingine na kumpa baba yangu, na kuwapa ndugu zangu wote kama m 68 kila mmoja ili aweze kuanzisha biashara. Na wakati mpenzi wangu alipokuja kugundua kuhusu hilo, yeye akataka nimpe milion 545 Lakini mimi nilicheka tu na kumpa milion 13 kwa sababu siwezi kamwe kumpa mwanamke zaidi ya 2% ya jumla ya fedha yangu.

Baada ya kuona hivo akaamua kuachana na mimi kwa sababu niligundua kuwa anataka pesa tu na sio mimi. Jambo ni kwamba ikiwa unataka kuendelea kuwa tajiri kama mwanaume, lazima uwe mchoyo zaidi na hawa wanawake. Akon

NB : kiasi hicho cha pesa ni katika US DOLLAR sema hapo nimeconvert kuwa Tsh ili ieleweke vizuri kile Akon anasema.
Mkuu usichokijua ni kwamba kipindi hicho Akon alikuwa anakaimu uongozi kama Naibu mwenyekiti wa CHAMA CHA WANAUME BAHILI DUNIANI (STINGY MEN ASSOCIATION)
 
Wanawake bhana, anapewa milioni 13 anasusa, awaulize wenzie, awajawahi kula hata buku na hawabembelezwi wala nini
Niliwahi kuwa na demu akiamini tako litanitia wazimu. Nilikuta ana dhiki balaa kuna wakati hata ya kula anakosa. nikawa namtoa hela ndogo ndogo tu, ikizidi sana 50k. Baada ya kuzoea akanichana eti sijawahi kumsaidia kikubwa zaidi ya hela ndogo ndogo. Uzuri nilishamfaidi, ikawa simple kumkaushia.
Baada ya wiki analia ameshinda njaa. Nikaishia kumtumia sms zake za "pesa ndogo ndogo".
 
Back
Top Bottom