Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Kumbe nakosea sana, mi natoa 7000 kwenye ten2% zingatia hapo yaani ukipata 10,000/= inatakiwa uhonge 200
Kweli we ni jipuSafi sana classmate Akon nakujua kwa ubahili tokea tupo shule.
Eti mbususu amekupeana 🤣🤣🤣🤣et mili 545 kwa kazi ipi aliyoifanya, mwenye ngoma ya Akon aweke tusindikizie huu uzi
Ukishakuwa na pesa. Wanawake wanafuata pesa siyo upendo wako kwake.Angepokea na kushukuru, kuna wanaume wengine hawatoi hata hela ya leso. Shauri zake na ujinga wake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣BAHILI HILO
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣2% zingatia hapo yaani ukipata 10,000/= inatakiwa uhonge 200
0777383578 hiyo hapoUko na namba ake?!
Mkuu usichokijua ni kwamba kipindi hicho Akon alikuwa anakaimu uongozi kama Naibu mwenyekiti wa CHAMA CHA WANAUME BAHILI DUNIANI (STINGY MEN ASSOCIATION)"Nilipopata kwa mara ya kwanza takribani bilion 3 ,niliwapa mama na baba yangu zaidi ya milioni 400 kila mmoja na mwanamke wangu akaachana namimi kwa sababu nilimpa milioni 13 tu." __ Akon
"Nilipopata bilion 3 yangu ya kwanza kutoka kwenye muziki, nilifurahi sana kwamba nilitumia kila kitu haraka sana. Kitu cha kwanza nilichonunua ni studio ili ikiwa kila kitu kitashindikana, niwe naandika na kutengeneza rekodi za wasanii wengine.
Nilitumia takriban m 680 kwenye seti hiyo ya studio. Kisha nikachukua m 400 na kumpa mama yangu, nikachukua ml 400 nyingine na kumpa baba yangu, na kuwapa ndugu zangu wote kama m 68 kila mmoja ili aweze kuanzisha biashara. Na wakati mpenzi wangu alipokuja kugundua kuhusu hilo, yeye akataka nimpe milion 545 Lakini mimi nilicheka tu na kumpa milion 13 kwa sababu siwezi kamwe kumpa mwanamke zaidi ya 2% ya jumla ya fedha yangu.
Baada ya kuona hivo akaamua kuachana na mimi kwa sababu niligundua kuwa anataka pesa tu na sio mimi. Jambo ni kwamba ikiwa unataka kuendelea kuwa tajiri kama mwanaume, lazima uwe mchoyo zaidi na hawa wanawake. Akon
NB : kiasi hicho cha pesa ni katika US DOLLAR sema hapo nimeconvert kuwa Tsh ili ieleweke vizuri kile Akon anasema.
Niliwahi kuwa na demu akiamini tako litanitia wazimu. Nilikuta ana dhiki balaa kuna wakati hata ya kula anakosa. nikawa namtoa hela ndogo ndogo tu, ikizidi sana 50k. Baada ya kuzoea akanichana eti sijawahi kumsaidia kikubwa zaidi ya hela ndogo ndogo. Uzuri nilishamfaidi, ikawa simple kumkaushia.Wanawake bhana, anapewa milioni 13 anasusa, awaulize wenzie, awajawahi kula hata buku na hawabembelezwi wala nini
Ana utajiri wa dola karibu mil 40 kwa rekodi za mwaka huu 2024.Kwahiyo sahivi kabakiza milioni ngapi? Afu yuko wapi kwani....
Kmmk 🤣2% zingatia hapo yaani ukipata 10,000/= inatakiwa uhonge 200