DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mwamba anakuambia maisha magumu ongeza laki mbili kiss tembea 🤣🤣🤣Nimempenda huyo mwamba
Huyo jamaa hashindwi we msikilize anavyolalamika hali ngumuHuyu dada anajiuza kabisa, af eti "what if my boyfriend akiona" pumbaf,
Af hawa ndo wanawasema wanaojipanga mtaani
Na huyu jamaa anaweza hata kumuuza huyu mdada
🤣🤣 Sasa hapo me najiuliza je jamaa akaamua kuextend hilo kiss kwa ruhusa ya jamaaHuyo anayekiss ndo BF huyo alopigiwa ni mkamilishaji
Huyu dada kama ana akili aachane na huyu mwamba,Huyo jamaa hashindwi we msikilize anavyolalamika hali ngumu
Hahaha mwamba tena anasema kaa pembeni kidogo Mbali na huyo demu 🤣🤣🤣🤣Huyu dada kama ana akili aachane na huyu mwamba,
Apo jamaa kakaa anasubiri laki tano.
Unajua nilikua nashangaa hawa wanaojiuza wanakuaje kwa wapenzi wao, kumbe kuna masela kama hawa
Tena jamaa anaita opportunity 🤣🤣Huyu dada kama ana akili aachane na huyu mwamba,
Apo jamaa kakaa anasubiri laki tano.
Unajua nilikua nashangaa hawa wanaojiuza wanakuaje kwa wapenzi wao, kumbe kuna masela kama hawa
🤣🤣Mbona hela nyingi sana hiyo,mi hata buku mbili njoo uchukue huyu kubwengo