Al-Ahli Tripoli wagomea Gari kubwa, mizigo yote wamepakia kwenye Kenta

Al-Ahli Tripoli wagomea Gari kubwa, mizigo yote wamepakia kwenye Kenta

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Al-Ahli Tripoli wamegoma mizigo yao kuingia kwenye gari kubwa na mizigo yote wamepakia kwenye gari ndogo aina ya Kenta wameweka vifaa vyote vya kufanyia mazoezi na vyakula vyao wametoka navyo nchini Libya.

Hivi ndivyo klabu ya Al-Ahli Tripoli ilivyowasili Tanzania kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya Simba Sport Club Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Tarehe 22 Septemba. Mchezo wa Kwanza ulichezwa Libya ukatamatika kwa Sure ya (0-0).
Je Mmyama ataweza kufua dafu mbele ya Wababe hawa wa Libya?

Video: Manara TV

Pia, Soma: Wapinzani wa Simba Washtuka, Washuka na Bordguards Kibao Airport
 
Al-Ahli Tripoli wamegoma mizigo yao kuingia kwenye gari kubwa na mizigo yote wamepakia kwenye gari ndogo aina ya Kenta wameweka vifaa vyote vya kufanyia mazoezi na vyakula vyao wametoka navyo nchini Libya.
Hivi ndivyo klabu ya Al-Ahli Tripoli ilivyowasili Tanzania kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya Simba Sport Club Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Tarehe 22 Septemba. Mchezo wa Kwanza ulichezwa Libya ukatamatika kwa Sure ya (0-0).
Je Mmyama ataweza kufua dafu mbele ya Wababe hawa wa Libya?

Video: Manara TV

Pia, Soma: Wapinzani wa Simba Washtuka, Washuka na Bordguards Kibao Airport
Ao jamaa wakati Simba anatolewa na Orlando pirates wao wakicheza hatua ya nusu /final kwaiyo wanauzoefu na mazingira ya fitina za soka la Ki Africa, wafungwe kwa kuzidiwa uwanjani ila wanajua namna mambo yanavyo kua ugenini.
 
Ao jamaa wakati Simba anatolewa na Orlando pirates wao wakicheza hatua ya nusu /final kwaiyo wanauzoefu na mazingira ya fitina za soka la Ki Africa, wafungwe kwa kuzidiwa uwanjani ila wanajua namna mambo yanavyo kua ugenini.
Na ndiomana wamejihami vilivyo. Simba focus kwenye mchezo tu kuhakikisha inapata ushindi nyumbani.
 
Walijichanganya sana kumfanyia fujo Kolo Muhan. Ngoja awaoneshe shoo hawataamini. Kolo aliwasha moto Afrika Kusini Live kabisa dunia nzima inaona. Na miaka hiyo walifanya vurugu kwa kiongozi wao wakishinikiza aondoke hadi wakayarunda mavi nyumbani kwake. Yule kiongozi akasema hakuwahi kujua kama wanachama wa Simba wanakunya mavi makubwa vile.


KAZI WANAYO.
 
Al-Ahli Tripoli wamegoma mizigo yao kuingia kwenye gari kubwa na mizigo yote wamepakia kwenye gari ndogo aina ya Kenta wameweka vifaa vyote vya kufanyia mazoezi na vyakula vyao wametoka navyo nchini Libya.
Hivi ndivyo klabu ya Al-Ahli Tripoli ilivyowasili Tanzania kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya Simba Sport Club Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Tarehe 22 Septemba. Mchezo wa Kwanza ulichezwa Libya ukatamatika kwa Sure ya (0-0).
Je Mmyama ataweza kufua dafu mbele ya Wababe hawa wa Libya?

Video: Manara TV

Pia, Soma: Wapinzani wa Simba Washtuka, Washuka na Bordguards Kibao Airport
arabs safari hii lazma walale na viatu wache washindie mikate migebuka
 
Back
Top Bottom