Al-Ahli Tripoli wagomea Gari kubwa, mizigo yote wamepakia kwenye Kenta

Al-Ahli Tripoli wagomea Gari kubwa, mizigo yote wamepakia kwenye Kenta

Hii mechi haijaisha
Huenda Simba akapigwa nyingi sana kwa Mkapa
Huwa nnachukizwa sana na timu zinazotumia mbinu chafu za nje ya uwanja kudhoofisha wapinzani, hata ikitokea timu yangu ndio imefanya hivi mara nyingi lazima numbee mabaya kwenye mechi inayofuta.

Hao Tripol walicheza mpira wa kunifurahisha sana, na nilitamani wapate matokeo siku ile, ila kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao baada ya mechi sitaki kabisa kuwaona wakiendelea na mashindano...!!
 
Al-Ahli Tripoli wamegoma mizigo yao kuingia kwenye gari kubwa na mizigo yote wamepakia kwenye gari ndogo aina ya Kenta wameweka vifaa vyote vya kufanyia mazoezi na vyakula vyao wametoka navyo nchini Libya.
Hivi ndivyo klabu ya Al-Ahli Tripoli ilivyowasili Tanzania kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya Simba Sport Club Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Tarehe 22 Septemba. Mchezo wa Kwanza ulichezwa Libya ukatamatika kwa Sure ya (0-0).
Je Mmyama ataweza kufua dafu mbele ya Wababe hawa wa Libya?

Video: Manara TV

Pia, Soma: Wapinzani wa Simba Washtuka, Washuka na Bordguards Kibao Airport
Kipigo kipo pale pale!
 
Huwa nnachukizwa sana na timu zinazotumia mbinu chafu za nje ya uwanja kudhoofisha wapinzani, hata ikitokea timu yangu ndio imefanya hivi mara nyingi lazima numbee mabaya kwenye mechi inayofuta.

Hao Tripol walicheza mpira wa kunifurahisha sana, na nilitamani wapate matokeo siku ile, ila kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao baada ya mechi sitaki kabisa kuwaona wakiendelea na mashindano...!!
Mashabiki wao walifanya mambo ya hovyo sana
Hawana ustaraabu
 
Back
Top Bottom