Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kila la kheri kwa Al Ahly!😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri kwa Al Ahly!😁
Nna mashaka pia japo ningependa kuona Simba akitoboa.Hii mechi haijaisha
Huenda Simba akapigwa nyingi sana kwa Mkapa
Huwa nnachukizwa sana na timu zinazotumia mbinu chafu za nje ya uwanja kudhoofisha wapinzani, hata ikitokea timu yangu ndio imefanya hivi mara nyingi lazima numbee mabaya kwenye mechi inayofuta.Hii mechi haijaisha
Huenda Simba akapigwa nyingi sana kwa Mkapa
Kipigo kipo pale pale!Al-Ahli Tripoli wamegoma mizigo yao kuingia kwenye gari kubwa na mizigo yote wamepakia kwenye gari ndogo aina ya Kenta wameweka vifaa vyote vya kufanyia mazoezi na vyakula vyao wametoka navyo nchini Libya.
Hivi ndivyo klabu ya Al-Ahli Tripoli ilivyowasili Tanzania kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya Simba Sport Club Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Tarehe 22 Septemba. Mchezo wa Kwanza ulichezwa Libya ukatamatika kwa Sure ya (0-0).
Je Mmyama ataweza kufua dafu mbele ya Wababe hawa wa Libya?
Video: Manara TV
Pia, Soma: Wapinzani wa Simba Washtuka, Washuka na Bordguards Kibao Airport
Mashabiki wao walifanya mambo ya hovyo sanaHuwa nnachukizwa sana na timu zinazotumia mbinu chafu za nje ya uwanja kudhoofisha wapinzani, hata ikitokea timu yangu ndio imefanya hivi mara nyingi lazima numbee mabaya kwenye mechi inayofuta.
Hao Tripol walicheza mpira wa kunifurahisha sana, na nilitamani wapate matokeo siku ile, ila kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao baada ya mechi sitaki kabisa kuwaona wakiendelea na mashindano...!!
Ilikuwaje Mkuu. Elezea kidogoMashabiki wao walifanya mambo ya hovyo sana
Hawana ustaraabu
Kuwashambulia wachezaji wa Simba kwa chupa za maji machafu yanayonukaIlikuwaje Mkuu. Elezea kidogo