MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Sawa braza, ila leo ni cha mbwa koko!Mkuu tumeshafuzu ujue
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa braza, ila leo ni cha mbwa koko!Mkuu tumeshafuzu ujue
Huyu kaumia mwenyewe wala hajaguswa
[emoji28][emoji28]Mashabiki wa soka sio watu,wanabadilika ndani ya sekunde tatu tu[emoji23]Mugalu yule tuliye mkataa wote kwenye mechi ya as vita au kuna mwingine?
kati hamna kituMkude ndani ya nyumba, tutaelewana kwanini tunasema Lwanga ni bora zaidi.
Ila sisi Wanasimba bwana, leo uke wimbo wa MK14 "nguvu ya mamba kumayi" hatutaki kuisikia tena[emoji3]. Leo Kagere anaonekana kiazi.Mugalu ni star wa Simba leo amepumzishwa asiumie.....ili kocha amtumie vema robo fainali
Aaah wewe jamaa lazima utakuwa mshirikina: Huoni hali ilivyokuwa mbaya ???Atakayeshinda hii mechi anamgonga Yanga usiku kucha,unaelewa?!
Sisi hatuna presha na hii mechi tunachotaka ni heshima tu kakaWawa anajituma sana
Hakuna viungo wakabaji wa maana leo.Shomari leo anakimbia muda wote anakazi kubwa sana leo
Hawa wetu leo tunawaweza kabisaIngawa Wsnaongoza 1 bila, Mpira Umebalance. Yaani Chochote Kinaweza Kutokea...!
kizazi cha yuda[emoji28][emoji28]Mashabiki wa soka sio watu,wanabadilika ndani ya sekunde tatu tu[emoji23]
Hali imekiwa mbaya wapi?Aaah wewe jamaa lazima utakuwa mshirikina: Huoni hali ilivyokuwa mbaya ???
🤣🤣🤣 🤣🤣
Kusikia kwa kenge ni damu zitoke masikioniHawa wetu leo tunawaweza kabisa
Nyie ndo wachongaji wakuu tulienileo ndio nimeona umuhimu wa criss Mugalu na thadeo lwanga