NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Na iwe ivyo mkuu.Mechi iishe hivi hivi halafu sisi mechi ijayo tumbamize mtu..tuwe na 10 ma wao wasuluhu tena ....nina hakika kwa asilimia zaidi ya 100 Al Ahly hatoboi hili kundi..hesabu kwa upande wake zimekaa vibaya.
Ili dude Al Alhly tusije kukutana nalo uko mbeleni,liishie hukuhuku Buza.