Al Ahly 2-2 AS Vita | CAFCL

Al Ahly 2-2 AS Vita | CAFCL

Simba Sc njia nyeupe kusonga mbele.

Tushindwe wenyewe kupata point 3 kwenye mechi 3 tulizobakiza ikiwemo mbili za nyumbani.

Huu ni mwaka wetu 💪💪💪
Kwa uhakika zaidi ni point 4
 
Ahly ndio alitakiwa ashinde kwani kule DRC vita atamfunga. Ndio ingekuwa nafasi kwa simba kupita kama atamfunga el merreikh mechi ya marudiano. Sasa hivi hali imekuwa ngumu kwa simba kwani anahitaji points nne ili kufuzu.
 
Ahly ndio alitakiwa ashinde kwani kule DRC vita atamfunga. Ndio ingekuwa nafasi kwa simba kupita kama atamfunga el merreikh mechi ya marudiano. Sasa hivi hali imekuwa ngumu kwa simba kwani anahitaji points nne ili kufuzu.
Simba kutoa sare leo amefanya kosa kubwa sana.
 
Ahly ndio alitakiwa ashinde kwani kule DRC vita atamfunga. Ndio ingekuwa nafasi kwa simba kupita kama atamfunga el merreikh mechi ya marudiano. Sasa hivi hali imekuwa ngumu kwa simba kwani anahitaji points nne ili kufuzu.
Hizo ni wishes ila uwanjani mambo yanaweza badilika
 
Labda hujielewi yaani hii sare imefanya kundi kuwa gumu na simba hana nafasi hapo ,Vita alivyocheza leo ndivyo atacheza akija Dar

Kwa matokeo hayo simba lazima watafute ushindi kwa udi na uvumba angalau mechi 1 na sare 1 tofauti na hapo mnaweza kuishia makundi mkashangaa
Kiaz wewe. Football huijui. Think twice
 
Simba Sc njia nyeupe kusonga mbele.

Tushindwe wenyewe kupata point 3 kwenye mechi 3 tulizobakiza ikiwemo mbili za nyumbani.

Huu ni mwaka wetu 💪💪💪
Hizi hesabu za wapi umepiga? Simba akifikisha point 10 bado kazi haijaisha sababu kimahesabu bado ahly na vita wana uwezo wa kufikiaha point 10 au zaidi
 
Labda hujielewi yaani hii sare imefanya kundi kuwa gumu na simba hana nafasi hapo ,Vita alivyocheza leo ndivyo atacheza akija Dar

Kwa matokeo hayo simba lazima watafute ushindi kwa udi na uvumba angalau mechi 1 na sare 1 tofauti na hapo mnaweza kuishia makundi mkashangaa
Umeongea kiutopolo zaidi. Simba hana nafasi kivipi?
 
Ila naamini hata game inayofuata wata sare then Simba akishinda msimamo inakuwa

Simba 10
Vita 5
Ahly 5
Mereikh 1

[emoji3][emoji3][emoji3] ndoto na itimie
Alafu mechi zitazofuata vita na ahly wakishinda mechi zao simba inatoka...
 
06 March 2021

Mashindano ya CAF Champions League 2020/ 2021 Msimamo ngazi ya makundi, kundi "A"

lenye timu 4 yaani Al Ahly ya Egypt, Al-Merrikh Sporting Club ya Omdurman nchini Sudan, AS Vita Club ya Kinshasa DR Congo na Simba SC toka Tanzania.

GROUP A LIVE TABLE
PosTeamPWDL+/-PTS
1SimbaSIM3210+27
2Vita ClubVIT3111+24
3Al AhlyAHL3111+24
4Al MerreikhMER3012-61
CHAMPIONS LEAGUE CAF 2020/2021
 
Na ndio itafanya mechi ya Simba vs As vita kuwa mechi ya kifo kwa As vita watakuja kutafuta matokeo tu.
Na simba watakua na kauli mbiu yao ya kwa mkapa hatoki mtu. Hata msimu ule vita alikuja anahitaji matokeo taifa akashindwa.
 
Simba kutoa sare leo amefanya kosa kubwa sana.
Kwa hiyo angefungwa? Tatizo Unaangalia mlinganyo upande mmoja tu kwamba wapinzani wa simba watapata matokeo chanya ila sio simba...
Wewe ni yanga bila shaka. Simba wana kwa mkapa hatoki mtu, point sita hizo kibindoni. Na sasa wanaongoza grp baada ya mechi tatu, grp ambalo wengi waliamini simba isingekuwapo kimahesabu mpaka sasa.
 
Labda hujielewi yaani hii sare imefanya kundi kuwa gumu na simba hana nafasi hapo ,Vita alivyocheza leo ndivyo atacheza akija Dar

Kwa matokeo hayo simba lazima watafute ushindi kwa udi na uvumba angalau mechi 1 na sare 1 tofauti na hapo mnaweza kuishia makundi mkashangaa
Wewe ni kiazi.
 
Back
Top Bottom