Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Water Bwalya hajamuona?..Yeye na kipa kapaisha.Mohamed Sherrif wa Al Ahly ! Yaaani Uso kwa uso, Yeye na kipa wa AS Vita lakini anakosa fursa ya waaazi kabisa kwa guu lake la kulia!
mpira umekwisha
Dakika ya 90' + 5'
Al Ahly SC 2 - 2 AS Vita Club
Nadhani ile jezi aliyebadilisha na Lamine Moro ndo shida ilianzia pale hata Kocha Pitso alipokutana na Senzo hivyo hivyo.. Utopolo wana gundu sana.[emoji2957]