AL Ahly ataitoa Simba kwenye AFL Yanga atalipiza kwa kuitoa AL Alhy kwenye CAFCL

AL Ahly ataitoa Simba kwenye AFL Yanga atalipiza kwa kuitoa AL Alhy kwenye CAFCL

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamilika kuchezwa nyumbani na ugenini.

Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly.

Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.

Subirini.
 
Uyo unayemuona ni mgumu kwako anakwenda kukalishwa na mziki wa yanga mnaujua vizuri isipokuwa mnajitoaga ufahamu lakini mtakubali mtake msitake
Sibishani na mtu ambaye timu yake imefungwa na Ihefu waliofukuza kocha
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamika kuchezwa nyumbani na ugenini.

Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly.

Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.

Subirini.
Hongereni wataalam wa kuhamisha goli!!
 
Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.
Heee! Kwani Yanga na Al Ahly watakutaka katika mechi za mtoano kwenye mashindano gani? Kweli kitu usichokizoea kitakuumbua tu tena ukweni.

"Sisi ni mazuzu ukiondoa wawili tu" - Manara, Msemaji wa Klabu ya Yanga

"Mashabiki wa Yanga ni mambumbumbu, hawajui mpira. - Wanapiga Makelele kama nyani au mbwa akibweka" - Luc Eymael, Kocha wa Yanga
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamilika kuchezwa nyumbani na ugenini.

Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly.

Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.

Subirini.
Kumtoa kwenda wapi yaani, unajua mpira au unaandika tu
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamilika kuchezwa nyumbani na ugenini.

Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly.

Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.

Subirini.
Sahihi kabisa mkuu
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamilika kuchezwa nyumbani na ugenini.

Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly.

Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.

Subirini.
Mnajitafutia maradhi yasiyotibika bure ndugu zetu
FB_IMG_1697705818872.jpg
 
Makolo wanashangilia draw.

Wanakwambia awaamini kama wametoka draw na al ahly kwa sababau al ahly ni timu ya viwango vya juu mno?
 
Uyo unayemuona ni mgumu kwako anakwenda kukalishwa na mziki wa Yanga mnaujua vizuri isipokuwa mnajitoaga ufahamu lakini mtakubali mtake msitake
Mziki wa Kucheza na Zalan, Wajibout na hao wakimbizi merreikh wa Sudan.


NB:Kwa AKILI hizi Kuna Sapraiz nyingi Sana zinakuja.
 
Heee! Kwani Yanga na Al Ahly watakutaka katika mechi za mtoano kwenye mashindano gani? Kweli kitu usichokizoea kitakuumbua tu tena ukweni.

"Sisi ni mazuzu ukiondoa wawili tu" - Manara, Msemaji wa Klabu ya Yanga

"Mashabiki wa Yanga ni mambumbumbu, hawajui mpira. - Wanapiga Makelele kama nyani au mbwa akibweka" - Luc Eymael, Kocha wa Yanga
Yanga iko kundi moja na Al Ahly kwa Cafcl.
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamilika kuchezwa nyumbani na ugenini.

Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly.

Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na katika matokeo ya jumla, atakuwa na magoli mengi kuliko Waarabu.

Subirini.
Mkuu simba ni mtoano ,Yanga na Al Ahly ni makundi sasa Yanga atamtoaje wakati kwenye makundi wanaangaliwa wenye points nyingi
 
Back
Top Bottom