Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Nyinyi na ubovu wenu mmepata mawili. Sisi wale tutabonda kwa mkapa tukienda kwao ndio wataamua wenyewe. Ila nakuhakikishia kuna mwarabu mmoja kati ya wale wawili anaenda kufa kwake dhidi ya YangaMkipata hata on target nawashauri mfanye parade