Al Ahly FC itawauliza swali gumu Simba SC kwa nini ilikaa airport badala ya kufanya usajili?

Duh! yote hii ni kwasababu hauipendi Simba hivyo? maana ulivyo inanga ni hatari.
 
Hii ni tabia ya watu wadokozi ,hasa kudokoa nyama ingali bado ipo kwenye moto haijaiva. Subiri chakula kiive ule, sio unadokolea kwenye chungu jikoni

Muda ni mwalimu mzuri
 
aibu ya taifa leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…