Al Ahly SC yawatakia Merry Christmas Waumini wa Kanisa la Coptic huko Misri

Al Ahly SC yawatakia Merry Christmas Waumini wa Kanisa la Coptic huko Misri

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
11,075
Reaction score
24,634
Leo ni Krismasi huko Ethiopia….! Pia kwa Coptic wa pale Alexandria Misri nao wanasherehekea sikukuu ya Krismasi na wao huifuata kalenda yao maalum…! Kwa Coptic huwa wanaita Alexandrian Calendar✅

Wanasherehekea kuzaliwa kwa Masihi Yesu Kristo kwa mujibu wa Kalenda yao ya Orthodox!

Ethiopia Kalenda yao kwa sasa ni mwaka 2017 na wao mwaka wao huwa na miezi 12 yenye siku 30 ila kuna ziada ya siku 5-6 hivyo hata mwaka mpya wao walishasherehekea Septemba 11 mwaka jana😄

Nakutakieni kheri nyote mnaoadhimisha Krismasi siku hii na iwe kheri kwao!

Source : Nazareth Upete Facebook Page
FB_IMG_17362381917575130.jpg
 
Jinsi mnavyochukulia ukatili wa Israel dhidi ya palestina huwa nawaona vichwa panzi sana.
Ulisoma comments za baadhi ya ndugu zetu wa upande wa pili baada ya shambulizi la Hamas la Oktoba 7 pale Israel likiua wenye hatia na wasio na hatia(wanawake na watoto) na bado unaona Wakristo tu ndio vichwa Panzi?

Siku zote huwa nasema ubaya hauna sura, ubaya hauna upande. Ukiamua kukemea ubaya hautakiwi kuchagua upande. Hamas akiua sawa, Israel akiua shetani.

Kama wao wamekaa chini wameona Taifa letu tutalipata kwa kuua Wayaudi wote kwanini iwe tatizo Myaudi akipita njia ile ile ya watu wangu nitawalinda kwa kuua Wapalestina wote?

Ukinijibu hayo maswali nitakubaliana nawe Wakristo ni vichwa panzi.

Pia nakukumbusha, ubaya hauna sura, ubaya hauna upande. Ukiamua kukemea ubaya usiegemee upande.
 
Ulisoma comments za baadhi ya ndugu zetu wa upande wa pili baada ya shambulizi la Hamas la Oktoba 7 pale Israel likiua wenye hatia na wasio na hatia(wanawake na watoto) na bado unaona Wakristo tu ndio vichwa Panzi?

Siku zote huwa nasema ubaya hauna sura, ubaya hauna upande. Ukiamua kukemea ubaya hautakiwi kuchagua upande. Hamas akiua sawa, Israel akiua shetani.

Kama wao wamekaa chini wameona Taifa letu tutalipata kwa kuua Wayaudi wote kwanini iwe tatizo Myaudi akipita njia ile ile ya watu wangu nitawalinda kwa kuua Wapalestina wote?

Ukinijibu hayo maswali nitakubaliana nawe Wakristo ni vichwa panzi.

Pia nakukumbusha, ubaya hauna sura, ubaya hauna upande. Ukiamua kukemea ubaya usiegemee upande.
Palestina anapigania haki yake Israel anapigania dhulma ipo tofauti kubwa hapo.
 
Leo ni Krismasi huko Ethiopia….! Pia kwa Coptic wa pale Alexandria Misri nao wanasherehekea sikukuu ya Krismasi na wao huifuata kalenda yao maalum…! Kwa Coptic huwa wanaita Alexandrian Calendar✅

Wanasherehekea kuzaliwa kwa Masihi Yesu Kristo kwa mujibu wa Kalenda yao ya Orthodox!

Ethiopia Kalenda yao kwa sasa ni mwaka 2017 na wao mwaka wao huwa na miezi 12 yenye siku 30 ila kuna ziada ya siku 5-6 hivyo hata mwaka mpya wao walishasherehekea Septemba 11 mwaka jana😄

Nakutakieni kheri nyote mnaoadhimisha Krismasi siku hii na iwe kheri kwao!

Source : Nazareth Upete Facebook PageView attachment 3194731
Halafu kuna mashehe ubwabwa hata maka hawapajuia ila wanamponda Mo Salah
 
Back
Top Bottom